Recent content by ELSA

  1. E

    Procurement job

    Asante kwa ushauri mkuu,ndio yupo anasoma hiyo mitihani ya board..i just pray afaulu then tujue tunafanyaje .Ningependa afanye kazi za procurement ili awe competent in her field and use the knowledge she got from school. Mkuu If you can give her even internship ili asikae tu home coz her...
  2. E

    Procurement job

    Habari wana JF,naombeni msaada wenu natafuta kazi ya procurement kwa ajili ya mdogo wangu wa kike nimemsomesha kwa shida sana sasa kamaliza na kafaulu vizuri ila hana kazi.Jambo hili linanisumbua sana. Kwa yeyote anayejua hata sehemu ambayo anaweza akapata hata intern naomba anisaidie kunipa...
  3. E

    Which is more difficult nowdays,getting a job or getting a degree.i am job seeker by profession

    Nafurahi kuulizwa professional coz naona kama vile kuna kimwanga kinataka kutokea hahhaaha!.I am a business woman by professional specialized in marketing.
  4. E

    Which is more difficult nowdays,getting a job or getting a degree.i am job seeker by profession

    I took bachelor of Business administration specialized in marketing.Wat about you mare you a job seeker by professional as well hahaaa, a joke!!
  5. E

    Wakueleweshwa ni waingereza na sio sisi watanzania.

    Mbona alipokuwa huko hakusema haya yote mbele yao na kuwaelewesha hao wanzungu ,kaja huku ndio kuongea kwenye vyombo vya habari,hiyo ni siasi ya woga na juhudi za kujijengea jina na kujitafutia umaarufu,acha hizo kiongozi.
  6. E

    Which is more difficult nowdays,getting a job or getting a degree.i am job seeker by profession

    dUH WANDUGU MBONA SIKU HIZI KAI NGUMU HIVI KULIKO HATA KUPATA DEGREE SASA SISI MA JOB SEEKERS TUTAFANYAJE. I AM A JOB SEEKER PLSE WENYE NETWORK ZENU HELP ME.
  7. E

    What really matters kwenye ulimwengu wa sasa,"Kupenda au kupendwa"?

    IN short which one between the two do you prefer"to love or to be loved"!!
  8. E

    What really matters kwenye ulimwengu wa sasa,"Kupenda au kupendwa"?

    mmh ndio kusema huwa unapendwa to that extent!!anyway congrats u must be lucky treasure that.
  9. E

    What really matters kwenye ulimwengu wa sasa,"Kupenda au kupendwa"?

    Napata wakati mgumu kujua hasa in kipi cha muhimu zaidi kati ya kupenda na kupendwa na ni kipi ambacho watu tunahitaji,je tunahitaji kupendwa au tunahitaji tupate watu tutakao wapenda katika maisha??Je wewe kijana anayetafuta mwenzi unataka nini haswa ?
  10. E

    i need girlfriend

    Duu!!,u sound so serious hata atakayepiga lazima ajifikirie mara mbili mbili!!
Back
Top Bottom