Mbona alipokuwa huko hakusema haya yote mbele yao na kuwaelewesha hao wanzungu ,kaja huku ndio kuongea kwenye vyombo vya habari,hiyo ni siasi ya woga na juhudi za kujijengea jina na kujitafutia umaarufu,acha hizo kiongozi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.