Huu mtandao ushakuwa wa kidwazi kinyama, hata kuweka Hela kubwa kwenye account ya tigo pesa inatia hofu. Maana huduma zao hazitabiliki.
Mfano saiv menu za vifurushi hazifanyi kazi na tigopesa pia.
Siyo tigopesa tu hata menu zao za vifurushi hazifanyi kazi,ukipiga huduma Kwa wateja wanasema number ipo busy.
Tigo siyo mara ya kwanza ndan ya huu mwez huduma zao kutoweka na hawaombi radhi,.
Acha mawazo hasi..
Kumbuka kwenda jkt Kwa mujibu wa Sheria ngazi ya kidato Cha sita siyo wote Huwa wanachaguliwa kwenda JKT, hivyo kutumia kigezo Cha JKT ktk ajira nyingi hasa za ulizi unakuwa unawakatili Hawa ambao hawakubahatika KUJIUNGA na hyo JKT
Shida lugha au? hapo application imekamilika but inamaana muendelee kusikilizia mpka majibu yatakapo toka.
Na mara nyingi Kwa second selection inaweza chukua cku 4-5 kupata majibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.