Wengine si wafuasi wa vyama lakini tunafurahia kuona wale viongozi wa watesi wetu wakipatwa na misiba au hata kufa kabisa,tulipofikia mnaamini watanzania hawawezi kuwafanya chochote ni ila kuna Mungu na kulipa kisasi ni kazi yake lazima tufurahie kazi ya Mungu na ukuu wake
Bajaji wa Morogoro road ni wa kuangalia Kwa jicho la kiupelelezi wanasababisha ajali nyingi za watu kugongwa kwenye taa, maana wanapakia kwenye taa na kwenye zebra watembea Kwa miguu wanashindwa kuangalia usalama wa bara bara kabla ya kuvuka kwani bajaji zimejaa pa kuvukia
Nilipata pisi Kali ya kinyambo kutoka karagwe, Mtoto alikuwa na rangi nzuri,Nyash nzuri laini na kamwanya flan hivi. Tatizo lilikuwa alijiremba anajipaka poda na lipstick anakuwa kama Ebitoke nilikuwa natamani kumzuia lakini alikuwa anapenda na hataki ushauri nadhani tunawafahamu watu wa ule...
Kakojoe ukalale hujaitwa kwenye uzi wetu pendwa, kaliwa Iryn linakuja dume na mandevu yake linaona wivu ulitaka uliwe wewe?
Kama unaona huu uandishi ni kitu simple andika stori yako watu wengi waifutilie kama tunavyofuatilia hii .
Hatukuwa na makubaliano ya kuoana hata nilipokuwa namtongoza sikuwahi kuntamkia nitamuoa mimi nilikuwa nataka utelezi tu. Tatizo la hawa mabinti wa kilokole wanaamini kila uhusiano lazima uishie kuwa ndoa kitu ambacho si kweli kabisa
Mchezo wa kutomasana na mke wa mtu? Tulia dogo hata ukikimbia kuna siku wa kwako nae atachezewa hivyo hivyo halafu maumivu yake ni mara 3 ya maumivu anayoyapata boss wako kwa sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.