Recent content by ellyp

  1. ellyp

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Je, inatafutwa sababu ili Rais Samia atangaze "Hali ya Hatari" nchini na kuweza kuzuia maandamano?

    Nakumbusha Polisi wa bongo wamewahi kupiga hadi walemavu hao wanawake na watoto pamoja na wazee unafikiri wataachwa salama
  2. ellyp

    JamiiForums Tanzania GE2025 PICHA: Sura za wanaodaiwa ni Askari walioshiriki kuua maelfu ya Watanzania

    Mwisho wa siku watarudi kuishi na Sisi mtaani na familia zao zipo na Sisi waliotuulia ndugu zetu sasa wasubirie roho mbaya zetu
  3. ellyp

    JamiiForums Tanzania Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    Max piga ya kichwa hao bado wanapumua, hapa ndio wameipa umaarufu zaidi Jamii forum
  4. ellyp

    JamiiForums Tanzania Mnaotumia bajaji route za barabara kuu kama Morogoro rd kwa wakazi wa Dar kuweni makini

    Bajaji wa Morogoro road ni wa kuangalia Kwa jicho la kiupelelezi wanasababisha ajali nyingi za watu kugongwa kwenye taa, maana wanapakia kwenye taa na kwenye zebra watembea Kwa miguu wanashindwa kuangalia usalama wa bara bara kabla ya kuvuka kwani bajaji zimejaa pa kuvukia
  5. ellyp

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimekuja kujua kwamba wife kanisaliti mwaka jana mwanzoni

    Usipate tabu ili usiteseke na msongo wa mawazo tafuta pisi moja nzuri kuliko yeye ifanye mchepuko utakuja kunishukuru
  6. ellyp

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi date na 'Pisi kali' lakini ina kasoro?

    Nilipata pisi Kali ya kinyambo kutoka karagwe, Mtoto alikuwa na rangi nzuri,Nyash nzuri laini na kamwanya flan hivi. Tatizo lilikuwa alijiremba anajipaka poda na lipstick anakuwa kama Ebitoke nilikuwa natamani kumzuia lakini alikuwa anapenda na hataki ushauri nadhani tunawafahamu watu wa ule...
  7. ellyp

    JamiiForums Tanzania Shilole avishwa pete ya uchumba, ndoa ya tatu yanukia

    Kile chuma kinavutia muda wote Acha Wana waoe tu, wakapimzike pazuri
  8. ellyp

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Zitto: Tumepata Taarifa Nondo yuko Kituo cha polisi Gogoni, Tumefika tumekuta gari inabadilishwa Plate namba

    Hii nchi tusipoangalia kuna siku tutaingia kwenye machafuko ya raia against state machinery,ngoja watu wachoshwe na haya matukio ni suala la muda tu.
  9. ellyp

    JamiiForums Tanzania Mimi nilifanya mtihani wa darasa la saba mwaka 2013, wewe je?

    Mimi nilifanya 2005
  10. ellyp

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kakojoe ukalale hujaitwa kwenye uzi wetu pendwa, kaliwa Iryn linakuja dume na mandevu yake linaona wivu ulitaka uliwe wewe? Kama unaona huu uandishi ni kitu simple andika stori yako watu wengi waifutilie kama tunavyofuatilia hii .
  11. ellyp

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

    Moro kupata nyama ni changamoto hebu mafisi wenzangu wekeni list ya machimbo active ya Moro
  12. ellyp

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kutoka na mwanamke mwenye kiu ya kuolewa ni balaa zito

    Hatukuwa na makubaliano ya kuoana hata nilipokuwa namtongoza sikuwahi kuntamkia nitamuoa mimi nilikuwa nataka utelezi tu. Tatizo la hawa mabinti wa kilokole wanaamini kila uhusiano lazima uishie kuwa ndoa kitu ambacho si kweli kabisa
  13. ellyp

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Boss kanifuma nikimtomasa mkewe ila hajachukua uamuzi wowote

    Mchezo wa kutomasana na mke wa mtu? Tulia dogo hata ukikimbia kuna siku wa kwako nae atachezewa hivyo hivyo halafu maumivu yake ni mara 3 ya maumivu anayoyapata boss wako kwa sasa
  14. ellyp

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Boss kanifuma nikimtomasa mkewe ila hajachukua uamuzi wowote

    Kuna siku na wewe utakuwa na mke na atafanywa hivyo hivyo unavyomfanyia mke wa mwenzako na hautakuwa na cha kufafanya. Wanawake walio single wapo wengi tena wengine hadi wanaenda kwa manabii waombewe wapate wanaume kwani wewe huwaoni?.Endelea kujitafutia pressure kwenye haya maisha
  15. ellyp

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kutoka na mwanamke mwenye kiu ya kuolewa ni balaa zito

    Mwaka juzi nilikuwa na demu mmoja mlokole nilimpata kwa mbinde sana kwenye taasisi ninayofanyia kazi. Baada ya miezi miwili akaanza kunipa utelezi kwa kweli alikuwa anajituma nilikuwa napewa mzigo mpaka nikawa napata wasi wasi huyu atabeba mimba muda siyo mrefu. Ndani ya miezi mitatu akaanza...
Back
Top Bottom