Hicho kinyago chenu kina dharau sana, yaan kapo mahakamani unaona tu utadhani kapo club anafanya no reform hadiahakamani acua wamnyoshe tena wamnyongelee mbali maana kwa kauli yake mwenyeqe alisema anahamasisha uasi
Amkeni bwana hivi mko wapi. Kwa akili zenu mnajua lisu ana mapenzi na tanzania, kwamba anafungwa, alikosa kuuawa hivi vyote anawapigania watanzania. I am sorry for you. Lisu anatumika na beberu
1. UTANGULIZI
Katika historia ya binadamu, dini imekuwa na nafasi kubwa katika maisha ya watu—ikiwapa matumaini, maadili na mwongozo wa maisha. Lakini katika upande wa pili wa sarafu, dini pia imekuwa kifaa cha kihistoria cha udanganyifu, unyonyaji, uongo, na utumwa wa kiakili. Kwa bara la...
Katika historia ya mwanadamu, dini imekuwa mojawapo ya taasisi zenye ushawishi mkubwa duniani. Imeongoza mataifa, imetuliza nafsi, imeeneza maadili, lakini pia — kwa mtazamo wa wachache wanaojitambua na wanaojiuliza maswali ya msingi — dini ni mfumo wa kihadaa uliobuniwa ili kuwatumikisha wengi...
Bibilia ni kitabu cha historia, kuna hqbari za kweli, kuna habari za kutunga hivyo ugunduzi wao unaweza kuwa kweli ila kwwnye bibilia tunasoma safina ilitulia juu ya kilima gani vile na kipo nchi gani hicho kilima kasome vizuri kama hakipo ugiriki tafiti zao za uwongo
Vijana wa 2000 nawaangalia tu. Mwingine kasema sili ugali nakula mihogo, nk hapo sasa ndo umekwepa nn.
Ki msingi katika nchi zinazoendelea kuacha kula vyakula vua wanga ni ghatama kubwa na kula wala usiwaze sana mi huwa nakula ninachojisikia kula siku hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.