Ok, Mkuu Mzizimkavu mimi sikupingi ila I was just looking for facts behing the whole thing! so nipo very interested na hii kitu really, can u give me more of that....
Mkuu hiki ni mjini hapa ndio kina raha, kwanza kwenye foleni za hapa town mzee mafuta wala huwazi, na pia sio kwa ajili ya safari ndefu wala offroad, so ni safi sana coz kiko economical
Yap, mkuu mimi nakubaliana na wewe completely, ukweli ni kwamba uwe graduate au vyovyote, sisi kwenye makampuni tunaajiri skills zako na tunaangalia ni jinsi gani zitatusaidia au kukuza kampuni then we pay u accordingly, so ishu si kuwa graduate tu.. ila ni kuwa more compitent kuhakikisha kuwa...
Cha msingi hapo ni kuwa commited na mtu wako, kuhakikisha huingii kwenye mitandao ya ngono yenye kuleta magonjwa na kuhatarisha familia yako, penda familia yako, mjali mkeo, penda watoto usije ukaleta magonjwa nyumbani ukahatarisha ndoa , ndio mwanzo wa kuwa na watoto yatima na wa mitaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.