Weka picha uongeze uwigo wa kuchangia.Habari wanajamvi,wakuu naomba kuuliza kuhusu ubora wa haka ka gari kwa matumizi ya hapa town Dar..?
Weka picha uongeze uwigo wa kuchangia.
Weka picha uongeze uwigo wa kuchangia.
Hiki kitakuwa poa. Bila shaka kina 4wheel, milango minne na injini ndogo. Lakini usije kuingia kishawishi kwenda safari ndefu ukipishana na lori utapeperushwa.
Inatumia mafuta vizuri sana, spares bei mbaya.
kiko poa, ila spea na uhaba wa mafundi wake! Tafuta Toyota RAUM kaka!
mimi ugonjwa wangu uko hapa tu, labda mniambie kama nimeigia chaka na model hizi mbili jimny na samurai zote 660CC engine capacity na zina 4wd.
View attachment 68935
View attachment 68936
Hizo gari mkataba mkuu, body yake utafikiri landcruiser hardtops. Kuna kitu kinaitwa maruti bei yake 30M hizo gari zenu mayai hazioni ndani kwa bei mara kadhaaa.mimi ugonjwa wangu uko hapa tu, labda mniambie kama nimeigia chaka na model hizi mbili jimny na samurai zote 660CC engine capacity na zina 4wd.
View attachment 68935
View attachment 68936
raum zile za zamani au hizi model mpya zenye vvti ingine?kiko poa, ila spea na uhaba wa mafundi wake! Tafuta Toyota RAUM kaka!
raum zile za zamani au hizi model mpya zenye vvti ingine?
Naamini hizo zitakuwa poa sana, maana nina Mitsubishi Pajero Mini, cc660, 4WD, 5Manual transmission, ina turbo, inaweza kwenda safari yoyote ile kwa Tanzania maana ina nguvu sana, mf Dar-Bukoba, kwenye mafuta ni very economical hadi raha, suala la mafuta wala haileti hata homa, spea zake zinapatikana sana japo ni ghari mno ila ni genuine na si za kugushi kama zilivyo zilizo nyingi za Toyota. Jimmy na Pajero mini mimi binafsi nazikubali sana.
mimi ugonjwa wangu uko hapa tu, labda mniambie kama nimeigia chaka na model hizi mbili jimny na samurai zote 660CC engine capacity na zina 4wd.
View attachment 68935
View attachment 68936