Hawa viumbe wote ni shida huwezi kupata ambaye hana tatizo, huyu akiwa na hili yule anajingine! Cha muhimu ni kuitambua kasoro yake na kuishi nayo hivo hivo.
Sawa! Tanzania ndo nchi pekee ambayo serikali inatoa bil 500 kununua ndege ya kisasa kabasa b788 dreamliner afu ipaki tu iwe ya maonyesho, wasafari wakishuka waipige picha ya ukumbusho!
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hao mbuzi mzee hawaendi dubai na airtanzania wanaenda na ndege nyingine airtanzania inaleta hadi dar hapa wanapakiwa kwenye ndege za warabu, flyemirates au oman air ndo zinawapeleka huko Dxb dubai
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaelewa hio nyama imepakiwa ndani au,? Maana hiyo picha hapo haifanani kabisa na sehemu ya kupakia mizigo kwenye ndege hiyo ya B787-8 (cargo holds) na isitoshe kwenye ndege hiyo mizigo yote uwekwa kwanza kwenye contena maalumu( ULD - unit loading devices) kisha upakiwa na mashine maalamu sio...
Natafuta rafiki wa kike aliye nautayari ambaye twaweza jenga mahusiano thabit yatakayo lenga kuishia ndoani.
Nimtaftae awe vyovyote vile mradi tu awe anajielewa na kujiheshimu na awe na kazi inayo muingizia kipato plus
Umri 20-25
Dini yoyote
Awe anaishi dar na ama karibu na hapo
Kuhusu mie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.