Nina wiki mbili sasa nikifanya mapenzi na mpenzi wangu najishanga nikimpiga goli moja tu uume unalala na unachelewa kusimama.
Nanukuu anavyonambia ''wewe sio bure, mara wewe kama umenichoka niambie mi nataka bado'' mwisho wa kunukuu.
Najikuta mpaka nataka nijiingize kwenye vishawiahi vya...
Mpenzi wangu anapenda sana kuniomba sana pesa kila siku ata kama ni ndogo ndogo lakini inakera kila siku mala elfu 5000 mala 2000 sasa jana kaniomba nikavunja ukimya nikamwambia wewe kila siku pesa duh hilo kosa kanuna na mimi nimemuacha anune tu ila ukweli nimemwambia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.