Recent content by Eliyo

  1. Eliyo

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    dah anachana mkeka liberpool
  2. Eliyo

    Acount yangu ya fecebook watu wanahi hack kila siku

    Jamani account yangu watu wanani hack kila siku wanaichukua narudisha msaada kama kuna sehemu pakufunga watu wasiweze ku hack account yangu
  3. Eliyo

    Ushauri: Nikipiga goli moja uume unachelewa kusimama

    Nina wiki mbili sasa nikifanya mapenzi na mpenzi wangu najishanga nikimpiga goli moja tu uume unalala na unachelewa kusimama. Nanukuu anavyonambia ''wewe sio bure, mara wewe kama umenichoka niambie mi nataka bado'' mwisho wa kunukuu. Najikuta mpaka nataka nijiingize kwenye vishawiahi vya...
  4. Eliyo

    Mpenzi wangu anapenda kuomba pesa nimemwambia ukweli kanuna

    Jamani nashukuru kwa ushauri wenu
  5. Eliyo

    Mpenzi wangu anapenda kuomba pesa nimemwambia ukweli kanuna

    Mpenzi wangu anapenda sana kuniomba sana pesa kila siku ata kama ni ndogo ndogo lakini inakera kila siku mala elfu 5000 mala 2000 sasa jana kaniomba nikavunja ukimya nikamwambia wewe kila siku pesa duh hilo kosa kanuna na mimi nimemuacha anune tu ila ukweli nimemwambia.
  6. Eliyo

    Kitu gani kilikufanya ukaachana na mpenzi uliempenda sana?

    Aliniomba pesa nikamwambia na wewe kila siku ela akaniacha
  7. Eliyo

    Nimeanza Mwaka kwa Mazoezi

    Gym mi ndiyo nakubalii sio push up unajochosha tu ni akili yangu
Back
Top Bottom