Eliyo
Member
- Mar 7, 2018
- 17
- 16
Nina wiki mbili sasa nikifanya mapenzi na mpenzi wangu najishanga nikimpiga goli moja tu uume unalala na unachelewa kusimama.
Nanukuu anavyonambia ''wewe sio bure, mara wewe kama umenichoka niambie mi nataka bado'' mwisho wa kunukuu.
Najikuta mpaka nataka nijiingize kwenye vishawiahi vya kutumia madawa ili tatizo nalitatuaje, ushauri wenu wana JF.
Nanukuu anavyonambia ''wewe sio bure, mara wewe kama umenichoka niambie mi nataka bado'' mwisho wa kunukuu.
Najikuta mpaka nataka nijiingize kwenye vishawiahi vya kutumia madawa ili tatizo nalitatuaje, ushauri wenu wana JF.