Recent content by Elius W Ndabila

  1. Elius W Ndabila

    Rostam Aziz: Mtandao ni kitu cha kawaida kwenye uchaguzi

    Mfanyabiashara maarufu nchini Rostam Aziz akihojiwa na kituo cha Azam cha UTV amesema mtandao ni kitu cha kawaida kwenye uchaguzi. Amesema uchaguzi wowote hata kama ni wa Diwani, Mbunge au Rais lazima kuwe na mtandao. Huwezi kushinda uchaguzi kama huna mtandao labda uwe Dikteta. Amesema mtandao...
  2. Elius W Ndabila

    Je, makaa ya mawe yanafaa kupikia Katika majiko ya majumbani kama mkaa wa kawaida unavyotumika?

    Inahitaji sufuria Zito sana. Mwaka 2021 niliwahi kupata nusu debe la huo mkaa, masufuria yalitobolewa sana. Moto ule una nguvu sana sana. Bonge Moja ukiliwasha unaweza kupika maharage hata mara Tano bado moto mkali.
  3. Elius W Ndabila

    Umadhubuti wa CCM unategemea upinzani imara

    Udhaifu wa vyama vya upinzani nchini unatutisha CCM wajibu mkubwa sana wa kuwa kiongozi na mhimili mkubwa na wa pekee wa umoja, maendeleo na ustawi wa Watanzania wote, hata wale ambao siyo WanaCCM. Hilo ni jambo la kwanza muhimu la kuzingatia tunapotafakari haya maneno ya Mwalimu Nyerere...
  4. Elius W Ndabila

    Ukimsikiliza Polepole, lazima utajiuliza Vyombo vya Ulinzi na Usalama katika nchi vinafanya nini?

    Yaani unatafakari mambo ya kibanga? Huyo amechanganyikiwa
  5. Elius W Ndabila

    Polepole: Angela Kizigha alituhumiwa kwa ufisadi sare za Polisi, sasa hivi yupo ofisi binafsi ya Rais

    Kwa hiyo ukituhumiwa huruhusiwi kufanya kazi? Yaani tuhuma zimunyime mtu haki ya kufanya kazi? Blue shirt,
  6. Elius W Ndabila

    GE2025 Kikwete: Wanaodai utaratibu wa kumpata mgombea CCM haukufuatwa labda wanajifanya hamnazo

    Sisi WanaCCM hatuna shida na uteuzi wa Mama Samia, wenye nongwa ni wale waliopata bahati ya kupitia CCM. Ahsante sana JK
  7. Elius W Ndabila

    Wanafunzi wa Sheria nchini husoma kwa Kukariri lakini dunia ya Sheria haiko hivyo. Angalia kosa la AG mstaafu OMO kwenye Uteuzi wa Luhaga Mpina !

    Kwa faida ya Chakubanga and his co. soma hii kama mnazo akili timamu mtatafuta KAZI ya kifanya badala ya kuhangaika na kutengeneza content za kusambaza baada ya kuishiwa ajenda #Upotoshaji dhidi ya Chakubanga, Polepole. By Abdul Nondo. Sasa Bwana Chakubanga @hpolepole Njoo hapa. Binafsi huwa...
  8. Elius W Ndabila

    GE2025 Sababu za wanaompinga Dkt. Samia

    Kama mnatumia nguvu kuhalalisha uongo kwa nini isitumike nguvu hiyo hiyo kuujibu?
  9. Elius W Ndabila

    GE2025 Sababu za wanaompinga Dkt. Samia

    Huko kwenu inatakiwa uhame na uhamie kwako.
  10. Elius W Ndabila

    GE2025 Sababu za wanaompinga Dkt. Samia

    Nyie ni wale mnaochukia kwa kuwa hamkutegemea.
  11. Elius W Ndabila

    GE2025 Sababu za wanaompinga Dkt. Samia

    KWA NINI DKT SAMIA ANACHUKIWA? Na Elius Ndabila 0768239284 Hivi sasa, wakati mchakato wa uchaguzi unakaribia wamejitokeza baadhi ya Watanzania ambao ni WanaCCM na wengine Wanachama wa vyama vingine vya siasa kupeleka shutuma kadhaa kwa Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT Dkt Samia Suluhu...
  12. Elius W Ndabila

    Godbless Lema amlilia Freeman Mbowe kwa waraka mzito

    Si akamuombe kwanza msamaha? Mbowe Mzee wa watu aliambiwa akapunzike . Mhe Maria Sarungi mwenye anasemaje?
  13. Elius W Ndabila

    GE2025 Askofu Bagonza: Usawa wa kisiasa ni DENI linalomkabili Rais Samia, ana uwezo wa kulilipa na kubakiza chenji

    Hakuna Rais ambaye hakuwahi kuwa na deni akiwa madarakani. Nyerere alitukanwa mpaka ilifikia watu kutaka kumpindua. Alivyong'atuka alianza kusifiwa na matusi yakahamia kwa Mzee Mwingi. Mkapa alitukanwa, matusi yaliacha baada ya kumwachia kijiti JK na JK matusi yaliisha baada ya JPM. JPM...
  14. Elius W Ndabila

    GE2025 Wafuasi wa Chadema hawajui wanapoelekea

    Maria Sarungi mwenye laana ya kutoshiriki Ibada maalum ya kumzika Baba yake anafahamu anakowapeleka. Muhimu wamesaidia kuipunguzia CCM gharama za Uchaguzi.
Back
Top Bottom