Kuna kipindi fulani, mambo yalianza kuwa taiti, ghafla bi.mkubwa akanipigia na kuanza kuuliza mbona sijamtafuta wala kumjulia hali. Mara akaanza ongea,.mara umekua, nimekukosea nini, NIMEMTOA MWANAO KAFAFA, umepata mama mwingine, umepata mama wa hiari, umepata mama wa ukubwani, nk. Nadhani...
Short-circuit kk
Inaweza kupiga spark (cheche kubwa)
Breaker/fuse itakata mara moja
Waya unaweza kuchemka au kuyeyuka
Socket inaweza kuungua
Kuna hatari ya mshtuko wa umeme au moto
Kuna mtu nilimuuliza, alisema,
Yale ni maeneo ya TANROADS (reserves),
kwaio muda mwingine waweza kuta TANROADS kawapangisha, na hata pengine kuwasogeza watu (kwa ile morogoro road baada ya kimara utakua umeona)
Kaa rada
Mimi nilifanya hivi
1. Nilijaza form yao online baada ya kuona wamefika mtaani
2. Wakanipigia kuniambia wananipa control no, unalipa kwanza ndio wanakuja kufunga
3. Nililipa siku ioio, kesho yake wakaja vuta wire na kufunga
4. Siku ioio wakawasha
5. Kwaio ukilipa je mpaka j5 una...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.