Shaka Ilembe naona kama S01 ndio ilikua kali.
Mimi nilikua nalipia Showmax, 80% ni kwa movies za south. Baadhi nazozikubali ni pamoja na
1. The Wife ( Akina Mkoki, Mqhele, Mahlomu)
2. Adulting - Best haswa kwa wanaume, talks about brotherhood and hustling
3. Outlaws- Vita ya wafugaji
Wanasemaga
Kama mwanaume hakikisha mambo 2
1. Uhakikishe unawatafutia watoto wako mama bora
2. Unakua na mama moja ya kukupa furaha, amani, nk.
Kwako naona unataka kuifanya io namba 2 kuwa rasmi ilhali hairuhusiwi.
Naamini ulishajishauri sana mpaka kufikia hatua ya kuzaa naye, ila hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.