Recent content by Elison Ndalichako

  1. E

    JamiiForums Tanzania Watu wa DSM badilikeni, si uungwana kubaki kwenye bajaji iliyoisha mafuta na kumuacha dereva aisukume mpaka sheli

    Hujui watu walivyovurugwa, Jaribu kuwashauri au kuwashawishi uone cha moto
  2. E

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Nimeona vibanda vya Walinzi wanaolinda Reli ya SGR njiani, sijaona vyoo wanavyotumia! Wanajisaidia wapi?

    Wale ni Wamasai. Naomba niishie hapa, Nikipata nauli mjomba, nitakuja
  3. E

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kheeeeeeeeee Tupo mbinu tusome hizo hidden au deleted comments
  4. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi dawa za mvuto na uchawi wa ulivoivuruga familia yangu

    Uliona wapi mwanaume anaongozwa na kichwa cha chini?
  5. E

    JamiiForums Tanzania Mtu anakumbuka kosa alilofanyiwa miaka 20 iliyopita sababu mzazi hakumuomba msamaha!

    Kuna kipindi fulani, mambo yalianza kuwa taiti, ghafla bi.mkubwa akanipigia na kuanza kuuliza mbona sijamtafuta wala kumjulia hali. Mara akaanza ongea,.mara umekua, nimekukosea nini, NIMEMTOA MWANAO KAFAFA, umepata mama mwingine, umepata mama wa hiari, umepata mama wa ukubwani, nk. Nadhani...
  6. E

    JamiiForums Tanzania Je ! Nikifunga plug 2 kwenye wire mmoja nikachomeka kwenye switch socket ya njia 2 nikawa sha nini kitatokea?

    Short-circuit kk Inaweza kupiga spark (cheche kubwa) Breaker/fuse itakata mara moja Waya unaweza kuchemka au kuyeyuka Socket inaweza kuungua Kuna hatari ya mshtuko wa umeme au moto
  7. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mko wapi, tatizo mnajificha sana mabroo

    Umekosa safari kaka?
  8. E

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nauza Nissan Dualis (EGY) TZS. 15.5m

    Changamoto?
  9. E

    JamiiForums Tanzania Kimara “ Ukanda wa Gaza” Niaje Paleee, Vituo vya Mafuta Vimeota Tena Morogoro Road!

    Kuna mtu nilimuuliza, alisema, Yale ni maeneo ya TANROADS (reserves), kwaio muda mwingine waweza kuta TANROADS kawapangisha, na hata pengine kuwasogeza watu (kwa ile morogoro road baada ya kimara utakua umeona)
  10. E

    JamiiForums Tanzania Samia ni Mama, hakuwaua watoto wenu. Mungu huwachukua watu sugu wa aina flani kwa njia flani

    Asante kwa kuudhihirishia umma uwezo wako wa kufikiri
  11. E

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kaa rada Mimi nilifanya hivi 1. Nilijaza form yao online baada ya kuona wamefika mtaani 2. Wakanipigia kuniambia wananipa control no, unalipa kwanza ndio wanakuja kufunga 3. Nililipa siku ioio, kesho yake wakaja vuta wire na kufunga 4. Siku ioio wakawasha 5. Kwaio ukilipa je mpaka j5 una...
Back
Top Bottom