Recent content by Elison Ndalichako

  1. E

    JamiiForums Tanzania Kuteleza sio kuanguka

    Hata mimi. Hahahaha
  2. E

    JamiiForums Tanzania Maisha ya Vijijini na imani za Kishirikina.

    Hapo padri kuvua rozali mbona kama ni movie fulani hivi Kama sio Nigeria basi ni Bongo (shumileta)
  3. E

    JamiiForums Tanzania Mlitudanganya wadada wembamba warefu wana papuchi kubwa.

    We ni mvulana au mwanaume? Una miaka mingapi?
  4. E

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu ana ana uzeofu na utomation ya trading strategy yake forex?

    Kwenye fx ukishaanza tafuta shortcuts tu Basi jua unatafuta shortcuts ya kuchoma pesa zako
  5. E

    JamiiForums Tanzania X wako ana hali gani huko alipokwenda baada ya kukusaliti?

    Wanaume wa siku hizi moje? Mmekua wambea wambea, yaani ghafla tu, mwanaume unataka kupata taarifa za ex wako. Ndio maana alikuacha #BeAMan
  6. E

    JamiiForums Tanzania SCREENSHOTS: Wimbo gani unasikiliza sasa hivi?

  7. E

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Naomba nikukumbushe AKUTUKANAYE, HAKUCHAGULII TUSI
  8. E

    JamiiForums Tanzania Kwenu Madalali wa magari kuna mdogo wangu ana 15m cash hapa anataka gari yake ya kwanza ili apate siti kwenye meza ya wakubwa zake akina sie

    Sifa kedekede halafu una 15m Kachukue passo au crown impreza xtrail nk Maana ist kuanzia 18
  9. E

    JamiiForums Tanzania Kero sugu ya shida ya mtandao NMB fanyeni marekebisho

    Kwa akili zako Unafikiri taaisis kubwa kama ile haijafikiria unachokiandika, ilhali wanakaguliwa na CAG na BoT. Fikiria
  10. E

    JamiiForums Tanzania Kero sugu ya shida ya mtandao NMB fanyeni marekebisho

    Sio kweli. Mbona nimefanya miamala tangu jana mpaka leo
  11. E

    JamiiForums Tanzania Hivi hii error ya NMB MshikoFasta inatokanaje na inatatuliwaje?

    Hii changamoto nimekutana nayo sana. Niliwapigia simu wakasema je sina mkopo kwenye taasis yoyote nikamwambia sina), wanafanya system upgrade nijaribu kuanzia j5, ila nilipomwambia nilikua napata huko miaka ya nyuma ndio akasema nifike kwenye matawi yao kwa msaada zaidi. Ila nilichat nao...
  12. E

    JamiiForums Tanzania Karibu kwa Mafunzo ya Udereva, Dar es Salaam

    1. Mimi Leseni ninayo, ila nataka nirudi tena darasani. Gharama zitakuwaje 2. Ukisoma manual huwezi soma automatic
  13. E

    JamiiForums Tanzania Lodge za Mtwara Mjini

    Ni lodge pekee au na mengine, maana kwa hilo dau, na isitoshe upo kusini Inafikirisha
Back
Top Bottom