Nilikata kwa 'uchungu' miembe dodo miwili baada ya kujishauri kwa miaka kadhaa kutokana na kuwa naziba nyufa kila baada ya meizi michache.. Mafundi walikuwa wanakula hela zangu tu.. Ila embe nazikumbuka hata leo zilivyokuwaga nyingi na tamu dah...
Siku wala saa haijulikani lakini tuliambiwa dalili zake na ndo tuko nazo Siku hizi.. Ndio maana tukaambiwa tukeshe (meaning to be alerted or on alert that the event will happen when we least expect it to...)
Siwezi na sikumaanisha picha za mji mzima. Nilichomaanisha ni kwamba hizo mita tatu ulosema si kweli ni ka-sehemu kadogo tu ka mji labda waweza kuta ndoo zipo karibu karibu hivyo...
Nishababuka sana na mtindo huu wa kunawa kila pahala... Natembea tu sasa na sanitiser yangu binafsi. By the way hivi vitu tukitumia sana vina madhara in a long term na pia barakoa zina shida ukivaa muda mrefu wa zaidi ya saa tatu mfululizo....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.