Uwasilishaji mzuri,
Nashauri usichanganye na kiingereza katika kutoa ufafanuzi mfano; dhana ni wazo, meza samani au kitendo cha kuingiza kitu tumboni kupitia mdomo, barabara ni njia nk
Habari ndugu zangu watanzania na rafiki wa Tanzania. Kumekuwa na makundi mawili yameibuka katika suala hili la tozo. Binafsi naona kundi moja ni Lile la wanafiki na jingine ni Lile la ukweli. Kiuhalisia, kwa Sasa Hali ya maisha imekuwa ngumu kiasi chake. Fedha imekuwa ikipatikana kwa shida Sana...
Hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la vijana kukosa ajira. Makala hii, itaangazia changamoto zinazo wakabili vijana katika sekta ya ajira binafsi.
Kutokana na wingi wa vijana wanaohitimu vyuo vya kati na vyuo vikuu, suala la ajira limekuwa tatizo sugu hapa Tanzania.
Mifumo yetu ya elimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.