Recent content by Elisante Yona

  1. Elisante Yona

    Majukumu na Kazi za Jeshi la Polisi Tanzania

    1. Polisi Tanzania (PT) ni chombo cha Muungano wa Tanzania kilichoundwa ili kuhakikisha usalama wa rai na mali zao, kudumisha Amani na utulivu katika jamii. 2. Kuzuia, kubaini, na kupambana na uhalifu, Ni chombo cha Serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, kilichopewa mamlaka na wajibu wa...
  2. Elisante Yona

    Nimethibitisha kuwa maisha hayana maana. 'The life has no purpose'

    Mpumbavu amesema moyoni hakuna Mungu, wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo, hakuna atendaye mema. Toka mbinguni BWANA aliwachungulia wanadamu, aone kama yuko mtu mwenye akili, amtafutaye Mungu wote wamepotoka, wameoza wote pamoja, hakuna atendaye mema, la! Hata mmoja. Zabur 14: 1-3.
  3. Elisante Yona

    Demokrasia: Maana, misingi yake na faida kwa jamii

    Demokrasia ni nini? Demokrasia ni mfumo wa serikali ambapo wananchi wote ni sawa mbele ya sheria na wanashiriki katika kufanya maamuzi ya kitaifa juu ya masuala ya umma. Wakati mwingine wananchi hushiriki moja kwa moja - hii ina maana kwamba wao hupiga kura moja kwa moja kwenye masuala kama...
  4. Elisante Yona

    Prof.Lipumba Arrested and Appeared before Kisutu Court

    Civic United Front national Chairman (CUF) Professor Ibrahim Lipumba (62) appeared before the Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam yesterday, charged with inciting his party followers to commit an offence contrary to section 390 and 35 of the Penal Code (Cap 16 R.E 2002). The...
  5. Elisante Yona

    Kama kuna Polisi mwenye Division One, basi vyeti si vyake

    Dear JF Members, I am writing this report with great sadness for the act which were committed by our police force by using excessive force when they arrested chairman of Civic United Front(CUF) Prof. Lipumba and his followers, I have discovered that Tanzania police force is just a gang of...
  6. Elisante Yona

    Rais Kikwete azuia mawaziri kutoka nje ya Dar

    MAWAZIRI wote wamezuiwa kusafiri kikazi nje ya Jiji la Dar es Salaam kutokana na kile kinachoelezwa ni maandalizi ya kukabidhi ofisi kwa mawaziri wapya ambao wanatarajiwa kutangazwa wakati wowote kuanzia sasa. Taarifa hizo zimekuja siku moja tu tangu Ikulu kupitia kwa Mkurugenzi wa...
  7. Elisante Yona

    New Development on Escrow Scandal in Tanzania

    Tanzania: Two appear in Dar court over Tegeta Escrow Account Saga Two people yesterday appeared before Kisutu Resident Magistrates' Court in Dar es Salaam in connection with the saga over the Bank of Tanzania Tegeta escrow account scandal. They are Rugonzibwa Mujunangoma, Director of...
  8. Elisante Yona

    Zambian President, Michael Sata dies in London

    Taarifa zilizotufikia punde zinasema Raisi wa Zambia Michael Sata amefariki dunia jijini London Uingereza. Familia ya Bwana Sata wameiambia BBC kuwa Rais wa Zambia, Michael Sata, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 77 katika hospitali ya London alikokuwa akitibiwa ugonjwa ambao haujatajwa...
  9. Elisante Yona

    Profesa Athuman Mavige auawa kwa risasi Bunju

    POLENI SANA WANAJUMUIYA YA CHUO KIKUU KWA KIFO CHA PRO.Athuman Livigha. Kwa wale ambao hawa mfahamu huyu nguli wa masuala ya siasa ya jamii na utawala, Alikuwa idara ya siasa na utawala kwenye school of arts zamani ilikuwa inaitwa Faculty of Arts pale chuo kikuu. Na pia kuweka mambo sawa...
  10. Elisante Yona

    Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

    CHADEMA must apologize for what Tundu LISU has accussed Mwalimu Nyerere, It was totally wrong ACT, Irrespective to someone who Liberated Tanganyika and who created Tanzania, Tundu lisu deserve purnishment, Tundu lisu HATUFAI kuwa KIONGOZI either Tanganyika or Tanzania
  11. Elisante Yona

    Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

    Maoni yangu, Tundu lisu ni Mhuni huwezi kumtukana Nyerere halafu Watanzania wakakusifu,Tumekugundua unajitafutia umaarufu wa kisiasa kwa kumtukana Nyerere,yaani wewe Tundu umefilisika,ninakuuliza umeenda hapo Dodoma kufanya nini ? Kutunga Katiba mpya au kumtukana Nyerere,Na kwenye hiyo Rasimu...
  12. Elisante Yona

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

    Dear JF Members, Let us ask ourselves a simple but tough questions, Is the union between Tanganyika and Zanzibar popular today as it had been before? Provide your positions with some concrete example supported by authorities, Hope to bring light to young generations, Does the young...
  13. Elisante Yona

    The Article of Union between the Republic of Tanganyika and the Peoples Republic of Zanzibar

    Dear JF members, Please see attached analysis of the article of the union, It is very educative, What are the legal legitimacy of the union, Source: The citizen(Dar es salaam) 28 July 2008 Elisante Yona
  14. Elisante Yona

    Kesho, Jumatatu ni siku ya mapumziko Tanzania Bara na Zanzibar

    Habari zilizotufikia punde kutoka Zanzibar ni kuwa Rais wa Zanziba pamoja na Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wametangaza kuwa kesho itakuwa ni Siku ya Mapumziko ya kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanziba, Chanzo cha habari hii ni TBC1 Ninawatakia MAPUMZIKO MEMA,HIZI NI HABARI ZA...
Back
Top Bottom