Geita ni vyema ukapanda parachichi inaitwa x-ikuli au nabal inavumilia kidogo joto lakn pia unaweza ukajaribu hass maana kuna watu wamepanda hass Mwanza.
Karibuni jamani kuwekeza kwenye parachichi; cha muhimu usikurupuke. Ni vyema ukapata ushauri wa wataalamu kabla ya kupanda ili usije kujuta baadae ni zao la muda mrefu (perrenial crop) na lina mbinu zake za utunzaji (Good agriculture practices- GAP)
Kikawaida simu zetu tunazitumia kwenye mambo mengi maovu km kuangalia porn,kutext michepuko ,matusi nk na hata kama hufanyi hayo lakin utakuwa umewahi kupokea mawaidha maovu kwenye simu yako halafu unaitumia na kanisan kama kitabu kitakatifu sipingi sana ila kama unajua unafanya hayo...
Jamani najua mnaendelea na ujazaj wa form za loan board but kuna hili la TCU, je ni bora utume elf hamsini kwa njia ya NBC bank au ununue vocha CRDB kote ni elfu hamsini?Na mda wa kushughulika na TCU ni saiz au baada ya matokeo?nawasilisha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.