Hapo umesema vyema sana.hakuna nayejua kama alikua amelewa au la.je kama ni wifi yake alikua anakunywa je?au kama ilikua imeachwa tu kwenye gari na mtu mwingine je.
Na nyie muwe waelewa wakuu.mtoa mada ana akili.wewe usifikirie kijuu juu tu kwamba lengo lake ni hilo ulilofikiria.panua uwanja wa uelewa wako zaidi ndipo utakapomuelewa anamaanisha nn
Katafika vizuri mkuu.kama unaamilimi uzima na usalama wake.Ila c unajua kina cc 900 tu,usibebe mizigo mingi kwa ajili ya milima ile.kitachemsha sana mkuu.safari njema.
Yani utafikiri ulikua town leo kwa jins palivyokua na jam kubwa.yani tumekereka sana kwa sababu unakuta ni dereva mmoja tu wa daladala anahamua kupaki gari njian ili apakie abiria.ole wako umsemeshe.walivyo wababe sasa .utafikiri wameweka serikali yetu mifukoni mwao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.