Recent content by Elihuruma Lwinga

  1. Elihuruma Lwinga

    Nawapongeza wapinzani wetu Yanga kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu

    Nipende kuwapongeza wapinzani wetu Yanga kwa kutwaa ubingwa wa Ligi kuu, kufika fainal shirikisho Afrika. Pamoja na hayo yote msijisahau kua Kuna akina ya maneno, Yaani kwa Sasa Wanaona timu yao NDO yenyewe, mpaka baadhi ya viongozi wameanza kuwaona viongozi wenzao wa timu zingine SI kitu, Ila...
  2. Elihuruma Lwinga

    Kwanini usukani wa gari unakuwa mgumu kukata kona?

    Nina gari aina ya Nadia, shida kubwa ni kua sterling poweryake ni mgumu sana pale ninapokata Kona, Nmejaribu kuweka fluid, nmenunua Hadi Rek hamna mabadiliko, Shida ni nini? Kwa anahejua naomba MSAADA.
  3. Elihuruma Lwinga

    Hawa ni marefa wa rede au? Dakika 4 zinaongezwa iweje Refa anauchuna mpaka dakika 11

    Refa kawatafutia goli Azam mpaka amelipata, na dk kadhaa mpira akamaliza[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  4. Elihuruma Lwinga

    Tuzidi kuiombea hii ratiba ya Mitihani

    TAREHE ZA MITIHANI Form two wanaanza tarehe 30/10/2022 Hadi 8/11/2022. Form four wanaanza tarehe 14/11/2022 Hadi 23/11/2022 DARASA LA SABA 5/10/2022 NA 6/10/2022 DARASA LA NNE 26/10/2022 na 27/10/2022 NAOMBA TUENDELEE KUOMBEA MITIHANI HII.
  5. Elihuruma Lwinga

    Kikosi cha Taifa Stars, nani uamuona hayupo?

    Naona baadhi ya wachezaji wameachwa, kama Zimbwe, Mwamnyeto, Abutwarib WA Yanga, Kapombe nk, Je ni sahihi kuwaacha? Au wamewaacha sababu ya kujiandaa na mashindano ya klab zao??
  6. Elihuruma Lwinga

    Robo fainali ya Shirikisho Afrika ni ngumu kwa Simba kuliko nusu fainali

    kwa Drow iliyochezeshwa leo imepanga kua Simba sc itakutana na Orlando pirates, huu mchezo kwa jina tu la timu ya Orlando inaonekana ni ngumu kuliko hata tunavodhani, na ukilinganisha na timu ambazo zitakutana na Simba endapo itapita hapa, Kikubwa ni kwamba watumie vizuri mchezo wa kwanza...
  7. Elihuruma Lwinga

    Walichoandika Asec Mimosas katika ukurasa wa Instagam juu ya USNM

    Asec memosa wanaiombea USNM washinde, nmeona kwenye ukurasa wao: If these people win on sunday, then 100% to quarter final, all the best, we fight for Ivory Coast Na wameweka logo ya wapinzani wetu. Nanmini Simba hawatakubali kufungwa nyumbani kwenye uwanja waliouzoea, WATANZANIA TUIOMBEE...
  8. Elihuruma Lwinga

    Afariki baada ya kupeleka vifaa vya ujenzi Kanisani

    Ni mwenyekiti wa kamati ya ujenzi Marehemu Elizabeth Samanyeta almaarufu kwa jina la Mama almas amefariki dunia jana Jioni, Mama almas alikua mwenyekiti wa kamati ya Ujenzi katika kanisa la Moravian Tanzania ushirika wa Morogoro mjini, pia alowahi kua Mlezi wa idara ya vijana Morogoro mjini...
  9. Elihuruma Lwinga

    TANESCO wanachotufanyia sasa hivi tutamkumbuka Magufuli, wakazi wa Keko siku ya 3 hakuna umeme

    Du, siku ya 4? shida yao kubwa hawatoi taarifa kuwa siku fulani umeme utakatika
  10. Elihuruma Lwinga

    Nani anaijua kesho yake?

    Tunawwza tukaamini kua hakuna hata mmoja, ila Mungu peke yake, Maana yake ni kwamba wapendwa Hali ya sasa inatisha, sio kama zaman, sasa tumeanza kuogopana, tunabaguana na kudharauliana, kwa sasa mtu akiumwa anaogopwa na wenzake, kisa wanahisi no Kovid 19. Muujiza mzuri kuliko vyote ni Kuamka...
Back
Top Bottom