Mimi nalia na Mwanzilishi wa Taifa hili.Aliliacha Taifa na katiba mbovu.Maamuzi makubwa ya nchi yanaamuliwa na Mtu mmoja .USA mkenya alipewa kuwa Rais(Obama) walijuwa kuna mifumo thabiti ya kulinda mali asili zao.
Naunga mkono Serikali, Watz sisi tunasehemu nyingi za kilimo, wengi hatulimi, hii kufungua mipaka ni nzuri, Mwakani itawaamusha wengi waingie katika kilimo. Nchi nyingi zinazotuzunguka zinategemea Tz. Badala nasisi tuitumie hii kama fursa tumelala. Mwakani mimi binafsi namuomba Mungu tu...
Wafanyabiashara wa Mafuta wanamhujumu Mama, Mbona nchi ya Malawi imethibiti awamu hii mafuta kutokupanda bei, source MERA maintains fuel prices. Wasaidizi wa Mama wafanye kazi yao pia. Siyo wanapandishe bei, ili wapate Faida kubwa. Pia wananchi wapewe taarifa. Jamani eeeh mzigo umepanda bei...
Serikali imekopa 1.3 imeenda direct kwenye mashule na vituo vya afya. Ndugai amamaind. Mpigaji huyu. Hataki wananchi wanufaike, watoto wa some. Alishazoea kuwazuga wananchi wa kongwa huku akifurahia umasikini wao.
Ni muda mwingi sasa umepita, viwanda vya ndani vimeshindwa kukizi hitaji la ndani. Toka sukari ipande kuwa 3000 kwa kilo imeshindikana kushuka. Hoja yako naiunga mkono kwa bidhaa ambazo si za lazima Sana kwa mahitaji ya kila siku.
Kulingana na Hali ya maisha ya watz, sukari haitakiwi kuzidi 1500 kwa kilo. Wewe binafsi unanufaiki nini na sukari kuuziwa na wazawa sh 3000 kwa kilo? Ni nonsense kweli kweli. Hao wazawa wa chache wanazidi kuwa matajiri, lkn wananchi walio wengi wanaumia
Kulingana na Hali ya maisha ya watz, sukari haitakiwi kuzidi 1500 kwa kilo. Wewe binafsi unanufaiki nini na sukari kuuziwa na wazawa sh 3000 kwa kilo? Ni nonsense kweli kweli. Hao wazawa wa chache wanazidi kuwa matajiri, lkn wananchi walio wengi wanaumia
Shinyanga kuna dhahabu ya kumwaga, nazani ndiyo inaongoza kwa dhahabu kwa Kanda ya ziwa, hasa wilaya yake ya kahama. Pia Ina madini mengi ya Almasi pale Mwadui, Mkoa wenye Almasi nyingi pekee ni shy hamna mkoa mwingine. Inatakiwa iongezee kabisa kwa pato. Pia wanalima pamba kwa wingi kama zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.