Kauli za kuwaita mawaziri wapumbavu ama nonsense zitafutwa na Katiba Mpya

Madaraka yanawapa kiburi.Ila acha yaparuane yenyewe kwa yenyewe maana hayakuingia madarakani kwa kura halali Bali wizi.
Na mengine yaliua watu a kufunga watu kwa kesi za kuunga unga ili yapite bila kupingwa. Hii laana haina mwisho.
 
Kwahiyo kuchomeana bidhaa kwenye mipana na kuzuia chakula kisiende upande wa pili Kuna make sense??
 
Sasa unazuiaje sukari nje?, Kwani matokeo yake hujayaona? Viwanda vichache, bei ikapanda hadi sukari ikawa adimu kupatikana, acha mataifa mengine yajaze sukari nchini ushindani uwe mkubwa bei iwe chee!

Mama yupo sahihi kwenye hili.
Hakika upo sawa ,pia watu tusipinge kila kitu ujinga utatumaliza ,tupinge kwa hoja na vitu vya maana.
 
Vifaranga mlivyochoma
Vifaranga vile vilichomwa kwa maagizo ya jiwe !

Huu ni ushetani ,unachomaje vitu hai kwa chuki tu??? Na kwanini mipaka inafungwa kwa minajiri ya urafi wa wachache???

Africa ni moja na wote ni Ndugu walio tenganishwa na mkoloni.
 
Vifaranga vile vilichomwa kwa maagizo ya jiwe !

Huu ni ushetani ,unachomaje vitu hai kwa chuki tu??? Na kwanini mipaka inafungwa kwa minajiri ya urafi wa wachache???

Africa ni moja na wote ni Ndugu walio tenganishwa na mkoloni.
Ikifika swala.la udikiteta utasikka wakiimba Afrika ni moja. Jiwe alikuwa anamchukia Uhuru Kenyatta kwa sababu alim-host Lissu.
 
Kuhusisha Katiba na mambo ya kijinga huwa inatia hasira sana, yaani suala dogo ili la Rais kumwajibisha waziri wake unataka katiba mpya? unataka Rais amuombe? ili hali kakosea?
 
Kuhusisha Katiba na mambo ya kijinga huwa inatia hasira sana, yaani suala dogo ili la Rais kumwajibisha waziri wake unataka katiba mpya? unataka Rais amuombe? ili hali kakosea?
Utakuwa under 18 wewe. Sitakujibu
 
Daah! Mkuu ulinzi wa bidha za ndani unafanywa hata na mataifa makubwa. Sembuse hii dona kantre??
Tatizo lipo how huo ulinzi is going to make changes! Wanafaidika hao hao mawazir wazalishaji na mawakala wao tu! Kwanza afadhali mama kasanuka! Ma dc na kamati zao walikuwa wanaenda kutajirika kwa rushwa
 
Ni kweli ila binafsi bado sijaelewa kwann wazalishaji ndo wapewe fursa ya kuagiza sukari nje kuziba gape la ndani la sukari kwa mujibu wa sheria na at the same time iwe ni illegal kwa ambaye si mzalishaji kuagiza sukari nje kuziba domestic gap market? Kwa anayejua
Ungesikiliza alichokisema huyo Waziri usingeandika ulichoandika. Ilikuwa ni msimamo wa Serikali wala siyo wa Waziri kuwa sukari itaagizwa tu na wenye viwanda kuziba pengo la sukari inayozalishwa nchini na mahitaji ya nchi. Waziri alikuwa anasimamia maamuzi ya Serikali kumuita nonsense ni kuitukana Serikali nzima.View attachment 2027359View attachment 2027361

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Sasa kam wapumbavu wasiambiwe, ni dhahiri suala la kizuia sukari tola nje wakati viwanda vyenu vinazalisha kiasi kisichotosheleza ni upumbavu, utazuia bidhaa toka nje kama tu viwanda vyenu vinazalisha kupita kiasi,ama uzalishaji unatosheleza.

Matokeo yake tutakuwa na sukari kidogo, itakuwa adimu, itapanda na bei kabisa.
 
Ni kweli ila binafsi bado sijaelewa kwann wazalishaji ndo wapewe fursa ya kuagiza sukari nje kuziba gape la ndani la sukari kwa mujibu wa sheria na at the same time iwe ni illegal kwa ambaye si mzalishaji kuagiza sukari nje kuziba domestic gap market? Kwa anayejua
..kwasababu wenye viwanda vya sukari wamekuwa wakilalamika kwamba kuna uagizaji holela wa sukari, ambao unasababisha washindwe kuongeza uzalishaji ktk viwanda vyao.

..utakumbuka kwamba viwanda vya sukari hapa nchi vilikuwa vya serikali kabla havijabinafsishwa. moja ya masharti ktk ubinafsishaji wa viwanda vya sukari ilikuwa ni wamiliki wapya waongeze uzalishaji ktk viwanda walivyonunua/ vilivyobinafsishwa.

..lengo la serikali ni kuziba gap / nakisi halisi ya sukari hapa nchini, na kuzuia uagizaji unaozidi kiasi ili kuvilinda viwanda vya ndani. serikali inaamini kwamba viwanda vikizalisha zaidi, wakulima wataweza kulima na kuuza miwa, tofauti na sasa hivi ambapo miwa mingi inachomwa moto kwasababu wenye viwanda wameshindwa kuinunua.
 
Ungesikiliza alichokisema huyo Waziri usingeandika ulichoandika. Ilikuwa ni msimamo wa Serikali wala siyo wa Waziri kuwa sukari itaagizwa tu na wenye viwanda kuziba pengo la sukari inayozalishwa nchini na mahitaji ya nchi. Waziri alikuwa anasimamia maamuzi ya Serikali kumuita nonsense ni kuitukana Serikali nzima.View attachment 2027359View attachment 2027361

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kulingana na Hali ya maisha ya watz, sukari haitakiwi kuzidi 1500 kwa kilo. Wewe binafsi unanufaiki nini na sukari kuuziwa na wazawa sh 3000 kwa kilo? Ni nonsense kweli kweli. Hao wazawa wa chache wanazidi kuwa matajiri, lkn wananchi walio wengi wanaumia
 
Ungesikiliza alichokisema huyo Waziri usingeandika ulichoandika. Ilikuwa ni msimamo wa Serikali wala siyo wa Waziri kuwa sukari itaagizwa tu na wenye viwanda kuziba pengo la sukari inayozalishwa nchini na mahitaji ya nchi. Waziri alikuwa anasimamia maamuzi ya Serikali kumuita nonsense ni kuitukana Serikali nzima.View attachment 2027359View attachment 2027361

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kulingana na Hali ya maisha ya watz, sukari haitakiwi kuzidi 1500 kwa kilo. Wewe binafsi unanufaiki nini na sukari kuuziwa na wazawa sh 3000 kwa kilo? Ni nonsense kweli kweli. Hao wazawa wa chache wanazidi kuwa matajiri, lkn wananchi walio wengi wanaumia
 
hapa naona kuna maslahi ya wananchi vs wapuuzi kadhaa team matamaa, leo hii sukari inabebeshwa mzigo wa kuthamini viwanda vya ndani huku viwanda vyenyewe vimepewa muda wa kuonyesha thamani yake vimeshindwa tukaishia kuiona sukari kama madini kwa bei yake, leta sukari watu tunywe chai bana
 
Back
Top Bottom