rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,190
- 20,154
Wanaume wa kijijini wanatia aibu
Kwa kilchomkuta mzee wa kongwa wajichunge walikuwa wanamchukulia pw mama samiaNa michezo hii inafanywa geti la ikulu lipo mita chache wanataka kuijua rangi ya mama!!
😀😀😀Siku ikitokea kwangu hata kama kuna ziara ya Rais, lazima nizindukie kama sio hospital basi mochwari. Yaani mtiti wake utatulizwa kwa kudhibitiwa na vyombo vya ulinzi na usalama. Makameraman lazima wasave video kiwizi. Sitakubali.
Halafu huu mtindo ulitakazoeleka enzi za mwenda zake.
Hapana ni dume tena ngoshaNafikiri wanamuhurumia sababu ni mwanamama.
Watu wengine wajinga ,kwamba mkurugenzi anakupiga why nawe usimzabe, Kama ni baunsa tumia hata jiwe, vinginevyo kaa kimiaHii ni mala ya pili jana kumdunda mtumishi hapa kijiji cha manchali,wiki chache zilizopita ulimfanyia hivyo mwalimu mkuu wa shule ya msingi chinangali 2 hukuridhika ukamshusha na cheo je umewahi kujiuliza ni kwanini mliona umuhimu wa kununua wenyewe vifaa vya ujenzi vya shule zoote mkavirundike ofisi ya halmashauri lengo lenu ilikuwa nini je mlitegemea kwa kufanya hivyo huo ujenzi ungeisha kwa wakati? Sasa mmepaniki na DEO wako wa shule ya msingi unawapiga hovyo WATUMISHi mh rais alitaka maendeleo kwa wananchi wake hajakutuma kuwanyanyasa wananchi wake mbaya zaidi huyo afisa elimu msingi nae anawatisha kuwanyima posho viongozi ambao hawajakamilisha miladi hamkutumwa na mamlaka kufanya hivyo bado una muda jirekebishe.
Hawa vijana washazoea posho sasa wametolewa kweny ukuu wa shule sasa wanatapa tapaWatu wengine wajinga ,kwamba mkurugenzi anakupiga why nawe usimzabe, Kama ni baunsa tumia hata jiwe, vinginevyo kaa kimia
Alitakiwa Ampasue Vipande Viwili Bila Kujari CheoKama mtumishi mwenyewe ndiyo wewe basi ni bora angekuvunja kiuno kabisa
Ndiyo.Hata jiwe asingekupiga!!?
Kwahiyo hata ukipigiwa🖕kalio na boss wako we piga kazi tu.Vijanaaa achen kulalama pgen kaz
Nafikiri mleta mada alitaka kuhoji ni sahihi boss kumshambulia mtu wa chini yake akikosea? Kwa maana shambulio ni jinai wewe ndiye unae waza posho na sababu kubwa unajipendekeza kwa huyo boss(chawa)Hawa vijana washazoea posho sasa wametolewa kweny ukuu wa shule sasa wanatapa tapa
Hivi mnapigwa mnakubali nyie hamjui kupigana? nyie ktk halmashauri hiyo ni mandezi kwelikweli!Hii ni mala ya pili jana kumdunda mtumishi hapa kijiji cha manchali,wiki chache zilizopita ulimfanyia hivyo mwalimu mkuu wa shule ya msingi chinangali 2 hukuridhika ukamshusha na cheo
Hizi kesi za kupigwa huwezi kuzisikia Dar.Wanaume wa kijijini wanatia aibu
Mkurugenzi umekuja kujitetea sio? Siku ulikutana na Mimi naning'inia kwenye kengele hizo😂Hawa vijana washazoea posho sasa wametolewa kweny ukuu wa shule sasa wanatapa tapa
Mkurugenzi umekuja kujitetea sio? Siku ulikutana na Mimi naning'inia kwenye kenge
Nilivyoelewa mimi kutoka kwa mleta mada ni kuwa kunaupigaji kwenye fedha ya uvico vifaa vya ujenzi vya maeneo yote vilinunuliwa na halmashauri na kujazana pale ofisin kwa lengo la kupiga wakasahau kwamba ujenzi unatakiwa uishe kwa wakati sasa shule zinakaribia kufunguliwa majengo bado wamevurugwa kwahiyo hiyo comment ni ya mnufaika wa upigaji.Mkurugenzi umekuja kujitetea sio? Siku ulikutana na Mimi naning'inia kwenye kengele hizo😂
Ninacho shangaa haya huwa yanafanyika nanusalama wa taifa hawafikishi taarisha kwa mteuziHii ni mala ya pili jana kumdunda mtumishi hapa kijiji cha manchali,wiki chache zilizopita ulimfanyia hivyo mwalimu mkuu wa shule ya msingi chinangali 2 hukuridhika ukamshusha na cheo
Je umewahi kujiuliza ni kwanini mliona umuhimu wa kununua wenyewe vifaa vya ujenzi vya shule zoote mkavirundike ofisi ya halmashauri lengo lenu ilikuwa nini je mlitegemea kwa kufanya hivyo huo ujenzi ungeisha kwa wakati?
Sasa mmepaniki na DEO wako wa shule ya msingi unawapiga hovyo WATUMISHi mh rais alitaka maendeleo kwa wananchi wake hajakutuma kuwanyanyasa wananchi wake mbaya zaidi huyo afisa elimu msingi nae anawatisha kuwanyima posho viongozi ambao hawajakamilisha miladi hamkutumwa na mamlaka kufanya hivyo bado una muda
jirekebishe.
Rudia kumsoma tena, wanadundwa...Ila Mimi mume wangu akirudi eti kadundwa na mkurugenzi, bora tu nirudi kwetu nijue sina mume....Mwanaume unapigwaje?Nilivyoelewa mimi kutoka kwa mleta mada ni kuwa kunaupigaji kwenye fedha ya uvico vifaa vya ujenzi vya maeneo yote vilinunuliwa na halmashauri na kujazana pale ofisin kwa lengo la kupiga wakasahau kwamba ujenzi unatakiwa uishe kwa wakati sasa shule zinakaribia kufunguliwa majengo bado wamevurugwa kwahiyo hiyo comment ni ya mnufaika wa upigaji.
Kumbuka waliopigwa sio wagogo ila mgogo ndo kapiga watumishi 2Hapa ndio utaelewa kwa nini watoto wa Kikurya hufundishwa kupigana na kujihami tangu wangali wadogo siyo kama hiyo boya inapigwa halafu inakimbilia kwenye kibodi. Ulitakiwa uwe umeshatoa meno ya mtu hapa kabla ya kuandika uzi