Ujasiriamali kwanza.
Mfanyabiashara wa kuku au mtu yeyote anayehitaji kuku wa kienyeji naweza kumpatia, size utakayo wewe. Nipo Arusha. Kwa anahitaji aniPM au nipigie kwa simu namba;
0689531349
Bro usimwache mke eti kisa ameonesha tabia ya upotevu wa nidhamu, basi kama sisi tuliooa tungekuwa kama tungea kila wiki na kutimua, pls usimwche mkeo kaa nae vzr atabadilika
Bro usimwache mke eti kisa smeonesha tabia ya upotevu wa nidhamu, basi kama sisi tulioa tungekuwa kama tungea kila wiki na kutimua, pls usimwche mkeo kaa nae vzr atabadilika
Kiukweli mimi ni mkristo na kwenye maandiko ya biblia hakuna sehemu iliyoandikwa kuhusu habari za maJini, ndo maana nikaandika topic hii kufahamu zaidi juu ya viumbe hawa.
Nimatumaini yangu wanajamvi wote hamjambo.
Nimepitia baadhi ya thread humu jf pia nimesoma vitabu mbalimbali kuhusu viumbe maJini, jinsi ya kuishi nao na kumtumia kupata mali na utajiri, pia wanasema kuna jini wema na wabaya, majini wema hawana madhara kwa binadamu ila majini wabaya huwadhuru...
Kaka usiwe na maamuzi ya haraka katika jambo hilo. ila nitakushauri hivi; wewe nenda maana riziki mafungu saba, lakini uwe na kiasi cha pesa ambazo mambo yakikaa vibaya unaweza kutumia kwa nauli ya kurudi nyumbani Tz. Kila la kheri kaka.
Habari wakuu...
Ukiwa katikati ya jiji la Arusha utawakuta wamasai wengi wakiwa wanafanya biashara ya Tanzanite huku baadhi yao wakiwa na magari ya kifahari ikionesha dhahir kuwa biashara hiyo inalipa. Kwa waliowahi kufanya huwa zinapatikanaje machimboni Mererani na huuzwaje gramu1?
Habari wanaJF.
Nataka kuingia kwenye biashara ya Hisa, lakini sina ufahamu zaidi kuhusu soko la Hisa. Ningependa kufahamu mimi niliyeoko mkoani nitanunuaje Hisa za DSE na natakiwa kuwa na kiasi gani cha pesa.
Shukran.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.