Upo sahihi kabisa.Hapa tu familia yangu jana wamelala njaa na hadi muda huu sijui leo watakula nini.Hali ni mbaya utafikiri watu hatuna nguvu wala uwezo wa kufanya kazi.Inauma sana ninapowaangalia wanangu wamenyong"onyea kwa njaa.Hadi napoteza matumaini kabisa.
Nikitafakari juu ya Mafuriko Dar, Nikitafakari juu ya Moto katika mlima kilimanjaro, Nikitafakari juu ya Watu kutekwa, kupigwa mapanga,kupigwa risasi kwa Lisu;Nikitafakari juu ya yanayoendelea kwenye kampeni.Nikitafakari juu Ya maamuzi ya vyombo vyetu vya usalama Naona wazi Mungu ana jambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.