Rais Samia amejitahidi sana kuliunganisha Taifa maana tulifikia hatua mbaya ya kutozikana kwa misingi ya vyama, kafa wa Chama Fulani, siendi. Hii Hali Rais Samia amemudu kuiondoa apewe sifa yake.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mikutano ambayo kwanza anakusanya watu kwa maroli na shule zinafumgwa eti Mwenezi anapita! Tutatoka lini kwenye huu upuuzi?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mtoa mada kumbuka maandamano yamebadili Hali ya hewa ya kisiasa mahala pengo sana ikiwemo Marekani mpaka kukatwa na usawa. AFRIKA Kusini maandamano yaliwafanya Makaburu wanyooshe mikono, Makaburu wa Tanzania ni CCM,mifumo yote ya checks & balance imeuawa kabisa, mahakama na bunge zimekuwa...
Angekuwa ameiva angewatoa wale COVID 19 kama sheria inavyotaka, lakini Kwa kuwa hajaiva anaendelea kuwa nao.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wanampangia vipi? Katiba iko wazi, hawana uanachama wasiwe wabunge. CCM wenyewe walifurajia bunge kulifanya la Chama kimoja wakasahau sheria za Mabunge kuwa kwenye mfumo wa vyama vingi wapinzani lazima wawemo, wamekumbuka tayari walishaharibu, Sasa kuionyesha Jumuia ya Mabunge kuwa wanaheshimu...
SA sijui wametumia kiumgo gani kufikiri. Israel imezungukwa na nchi za Kiarabu za Algeria, Tunisia, Morocco, Misri, Libya, Lebanon, Uturuki, Syria, Iran,Saudi Arabia, Qatar, Yemen, Iraq...hizi zote malengo yao ni kulifuta Israel. October 7 Hamas waliwavamia Waisraeli na kuua watu 1,200 huku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.