Mtu akifa amekufa hawezi kujua neno lolote hapa duniani wala kaburini (kuzimu) hivyo roho hutoka na nkisema roho maana yake ni pumzi, so hii pumzi haiendi pepon wala haiwezi kuingia kwa mtu yeyote wala hawezi kuzaliwa mtu na kuwekewa pumzi hyo, hivyo basi YESU anaporudi mara ya pili watu wote...
Akili ni sawa na nywere,
Lkn nikwambie ukipenda kujua vitu fatilia pande zote sio ukusanye kutoka sehem 1 urizike, hadi leo kuna vyama vinaidai serikali pesa kwa ajili ya uchaguzi hawajaripwa bado!
Leo pesa imekuwa adimu kuipata lkn vitu vinapanda bei nini faida yake?? Watu ambao hawajaoa hawana kiwanja hawana nyumba hana hata baiskeri unazani lini atakuwa na maisha mazuri ya kuachana na upaganji na kuwa na familia yake, hakika serikali hii isipobadili mfumo watanufaika wale waliotengeneza...
Mvumilivu hula mbivu huwezi kujua kwanini alikaa kimya pengine ni uzalendo wa wa nchi yake na wananchi wake, unahisi angepinga matokeo nini kingetokea??? Fikiri ya mbeleni sio ya leo tu!!!
Majibu yote ya maswali kimsingi wa vitabu vitukufu hayako sahihi hata kidogo fanya utafiti kwa umakini usipotoshe watu,
JE UNAJUA MAANA YA ROHO????? ukijua mana yake tengua majibu yako yote!
Mleta mada Sayansi yako ovyo wewe unaonekana ni kilaza mzuri, wanasayansi waliotangulia ambao si vilaza walishapinga hili la kurithi akili, so karisiti upunguze ukilaza!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.