Recent content by elias maswe

  1. E

    Wivu na chuki ya maendeleo mbaya sana: Waigbo wa Nigeria ndio kabila lenye akili na uwezo mkubwa kibiashara, wanakomolewa ila bado wanadunda

    Hushpup hakukamatwa kwa sababu ya sifa, bali aliuvuka mstari mwekundu baada ya kuanza kufanya kazi na Korea kasikazini, ndipo hapo CIA wakamkamata
  2. E

    Kesi ya Mirathi ya Dkt. Likwelile: Vicky Kamata ashindwa, mahakama yasema ndoa yao haikuwa halali

    Acha kukurupuka, Mahakama imekwambia Tanzania kuna aina mbili za ndoa, Ndoa ya wake wengi na ndoa ya mke mmoja, Marehemu alikuwa na ndoa ya mke mmoja, Na Vick aliolewa kabla ya mke hajafariki, Na mume hakumpa mkewe Taraka, Vilevile Mahakama ilimuuliza Mchungaji aliefungisha ndoa ya Vick alikana...
  3. E

    DOKEZO Mfanyabiashara maarufu Arusha aibiwa Tsh. Milioni 100 kwenye akaunti ya Benki ya NMB

    Sisi Ambao tuna laki mbili bank ndio kila muda huwa tunaangalia salio [emoji16]
  4. E

    Kabla ya kumkosoa Rais Samia, tumuombe radhi kwanza Hayati Mkapa na familia yake na washauri wake

    Zanzibar kuna biashara gani mpaka ijumuishwe? Meli yenye Contena 5,000 itashusha Zanzibar kwa biashara gani? Unajua mahitaji ya Zanzibar kwa Mwezi? Umejiuliza zanzibar inaingiza kiasi gani kwenye bandari zake? Haiwezekani mtu awekeze pesa nyingi halafu ale hasara, Kwani Rwanda, Burundi, Uganda...
  5. E

    Kibongobongo kumiliki milioni 100 kabla ya miaka 30

    Usikariri kumiliki pesa mpaka uwe msomi, wajasiria mali wengi wameishia la saba na form 4 wanamiliki pesa kuzidi hao wasomi, kuna vijana wameishia form 4 wana maisha mazuri na biashara zao kuzidi wasomi
  6. E

    Collaboration kali zilizowahi kusumbua Bongo

    Kama unataka Demu- Mchopanga Nampenda- Mike T Simu yangu- Ula Maa, Soggy na Mchopanga
  7. E

    Collaboration kali zilizowahi kusumbua Bongo

    Piga Makofi- Prof J, Simple X
  8. E

    Collaboration kali zilizowahi kusumbua Bongo

    Wagosi wa Kaya-Wauguzi Wagosi- Lidandasi
  9. E

    Godbless Lema: Ujenzi wa bwawa la Umeme ni mradi wa ovyo kabisa, tulipaswa kuimarisha Miradi ya Solar

    Ifike kipindi mjitambue, ule ni mradi wa hovyo, dunia sasa hivi inapitia mabadiliko ya hali ya hewa. Mvua sasa hivi hazinyeshi, ule mradi wa gesi aliouacha JK ndio lilikuwa suluhisho la kudumu. Kwa sasa mvua hazitabiriki
  10. E

    Shemeji yangu amekataa! Abadani, Mwanangu hapimwi DNA ikibidi ndoa ivunjike tu

    Kweli kabisa kwa Tanzania ndio ipo hivyo, na hata majuzi Ummy aliongea hilo kwamba watende haki wakati sheria inawabana watoe majibu kwa kuangalia ustawi wa mtoto, Mbona kila Mwaka ofisi ya mkemia mkuu hutoa majibu ya jumla kuhusu DNA, Na mwaka jana ofisi ya Mkemia ilisema 45% ya Baba wanalea...
  11. E

    Shemeji yangu amekataa! Abadani, Mwanangu hapimwi DNA ikibidi ndoa ivunjike tu

    Sheria inasema majibu yatolewe kwa kuzingatia ustawi wa ukuaji wa mtoto, kwa muktadha huo lazima uambiwe wewe ndio baba wa mtoto kwani tayari sheria imewaelekeza hivyo, labda kama mpo wawili mnaogombea mtoto na pia lazima waangalie anaejiweza ndio anapewa mtoto
  12. E

    Mahakama yaiamuru MultiChoice iwalipe mwanariadha Simbu na wenzake Tsh. 450m

    Hiyo ni 150 kila mmoja na sio 300 kila mmoja
Back
Top Bottom