Kwanza ni kitu cha ajabu kuharibika ndege? Mbona tunakosa mawazo? Tubadirike jamani, kumbukeni hata nguo mpya inawezekana ikawa na dosari, kumbukeni hiyo ndege imesafiri toka marekani hadi Tanzania, jamani acheni kuwa na mawazo hasi kiasi hicho.
Sasa kama hautaki kuamuliwa usipositi kwenye mitandao ya kijamii tafuta ya pekee yako, sasa unaandika ukiwa katika hali ya hasira? Kwanza kama kujibalaguza sio mm Bali no wewe
Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
Wewe tumia lugha nzuri, kama wanaona wanaonewa mbona mahakama zipo? Na wewe usipotoshe watu, ukiulizwa ulichokikosa mpaka Leo hauwezi kukisema, najua lisu anauwezo mzuri kisheria anachokosea njia anayotumia sio nzuri, kwa nn hasiende mahakani? Labda akienda mahakama za atahisi hatatendewa haki...
Kama ni hivyo afadhari wabinywe wachache ambao ni lisu na wenzio kuliko wananchi wanyonge, cha msingi ni kufanya kazi kwa bidii. Na kama ni hivyo lisu aende mahakani majibu yatapatikana tu
Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
Wewe ujitafakari kwanza, alichoongea zito ni sahihi kabisa, lisu ametumia jitihada gani? Kuna haja gani ya msingi kuharika wageni? Mbona haeleweki?
Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
Zigi zaga umeongea vyema, hilo ujue watanzania tulivyo, nilitegemea Tundu lisu atoe jinsia mbadala ya kuisaidia inchi yetu, Mara nyingi tundu yeye ni kuponda tu, sielewi sasa labda kwa sababu tunatofautiana uwezo wa kutoa mawazo.
Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
Mm naamini nyie mnatoa cotations kuwa mchungaji kasema, wewe unamwamini kiasi gani? Yeye ni binadamu kama sisi, Mimi naunga mkono akae kimya kafanya kazi kubwa mnoo ya kuokoa maisha ya vijana, mtakaa kimya na ataendelea kusafisha jiji
Kwanza kuwa na zero ni dhambi? Kama ni dhambi nyie munaohoji toeni vyeti vyenu tuvione, hayo yote kwa sababu kasimama na kujitoa kuhusu dawa za kulevya, lakini ukweli utabaki palepale kuwa kuna madhara makubwa, tuache ushabiki, tuache NECTA wafanye kazi
Wewe na mimi hatujui ndiyo maana hata hizo taarifa zinatolewa humu zinapingana zenyewe, kumbe nao wanatafuta njia ya kuchafuana.
Kinachotakiwa kuangalia uhalisia wa mambo, kwa mfano madawa ya kulevya yanavyoharibu watu maana wengine walisema Hawaii suki kabisa baada uchunguzi wanakamatwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.