Recent content by ELIAH MATHIAS

  1. E

    JamiiForums Tanzania Hili wanalolifanya Wakurya sio sawa kabisa

    sio kila manila bali ni kila kabila
  2. E

    JamiiForums Tanzania Mbunge Godbless Lema akamatwa na polisi

    ANGALIA HIVI VYAMA VINATUTUMIA KUFANIKISHA NINI CHA MAENDELEO NA SIO VINGINEVYO ,,,,, TAFAKALI CHUKUA HATUA
  3. E

    JamiiForums Tanzania RC Makonda: Polisi mkiwakamata wahalifu wapigeni bila huruma, watakaohoji waje kwangu

    NINGEAGIZA WAKIKAMATWA NILETEWE TUU VICHWA VYAO SI HITAJI HATA KUWAONA WAKIWA WANAPUMUA
  4. E

    JamiiForums Tanzania RC Makonda: Polisi mkiwakamata wahalifu wapigeni bila huruma, watakaohoji waje kwangu

    kwa yeyote yule atakayechochea uvunjifu wa amani huyo ndiye ICC itamhusu ,,,, tufikili na tuchukue hatuaa
  5. E

    JamiiForums Tanzania Mbunge Godbless Lema akamatwa na polisi

    umenena la msingi,, mtu mwenye akili atasimamia ukweli hatatetea vyama vya siasa maana hivi vinaangalia maslahi yao sio maslahi ya taifa kwa ujumla,,, tufikilie kabla ya kujaji
  6. E

    JamiiForums Tanzania RC Makonda: Polisi mkiwakamata wahalifu wapigeni bila huruma, watakaohoji waje kwangu

    kwa mfano watu walio tuulia askari wetu unadhani tuwaiiteje,,, sasa inategemea wewe umeyatumia wapi na kwa nani
  7. E

    JamiiForums Tanzania Mbunge Godbless Lema akamatwa na polisi

    hilo ni swali gani unauliza,,, kutoingia ikulu ni proof tosha unataka uletewe makaratasi ya mtokeo kawaulize mawakala wa upinzani
  8. E

    JamiiForums Tanzania RC Makonda: Polisi mkiwakamata wahalifu wapigeni bila huruma, watakaohoji waje kwangu

    HAHHHAAAA fikilia unachosema hii serikali imefanya nin kibaya kwa wananchi wake kama sio uchochezi huo,,, baada ya kusema tuwapinge wapinga maamuzi ya serikali ya kuleta maendeleo,,,hivi kama upinzani mungeingia madarakani MNGEFANYA NINI MAANA NINA WASIWASI MUSINGEFANYA CHOCHOTE KWA HAYA...
  9. E

    JamiiForums Tanzania RC Makonda: Polisi mkiwakamata wahalifu wapigeni bila huruma, watakaohoji waje kwangu

    Democrasia nayo ikizidi pia ni tatizo hasa kwa watu wasio jua kuitumia kufanya shuguli za maendeleo badala yake wanataka kuandamana mitaani ili kupelekea hofu na vurugu mitaani HAWA WAPIGWE TUUUUUU
  10. E

    JamiiForums Tanzania Mbunge Godbless Lema akamatwa na polisi

    usiseme watanzania sema wewe , isingekuwa hii serikali tungejua wapi kitu kinaitwa HEWA
  11. E

    JamiiForums Tanzania Mbunge Godbless Lema akamatwa na polisi

    ULICKIA HOTUBA YA GODBLESS HIVI YEYE NA SERIKALI NANI ANAMPANGO MBAYA TAIFA HILI
  12. E

    JamiiForums Tanzania Ucheleweshaji wa pesa za kujikimu kwa wanafunzi ni tatizo kubwa sasa

    suluhisho sio mgomo ila serikali itafute njia mbadala ya kupambana na mikopo hewa ambayo haiwaumizi wanafunzi wasiokuwa na makosa
  13. E

    JamiiForums Tanzania Pesa za kujikimu kwa wanachuo walioko field, tunaomba serikali ilifikirie

    Hivi lakini ni nani anayeumia kati ya utawala wa chuo ulioambiwa ulipe pesa zilizotolewa kwa wanafunzi hewa ili pesa za field kwa mwaka huu zitolewe kwa wanafunzi wa vyuo husika au ni wanafunzi wa vyuo ambao tayari wako field tena mikoani mbali na kwao ambao bado hawajapata hizo pesa za...
  14. E

    JamiiForums Tanzania TABORA: Timu ya JamiiForums yapata ajali maeneo ya Mbaoni - Urambo

    poolen sana MWENYEZI MUNGU awaponye mapema mrudi kwenye majukumu ya kila cku
  15. E

    JamiiForums Tanzania Serikali: Hakuna nafasi ya mwanafunzi wa kidato cha tano kubadili mchepuo au shule

    UMETUKUMBUSHA KITU CHA MSINGI LAKINI KWA UZOEFU WANGU WANAFUNZI WENGINE WALIKUWA WAKIPANGIWA COMBINATION AMBAZO HAWAKUCHAGUA,, LAKINI NAONA KWA KIPINDI HICHI NECTA IMEJITAHIDI SANA KUPANGA KAMA MAOMBI YA WANAFUNZI YALIVYO TATIZO NI KWA WALE WENYE UFAULU HAFIFU..............
Back
Top Bottom