Nilishamueleza Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Kakonko juu ya kusudio langu la kuacha kuwa mwanachama wa @ccmtanzania na kuwa mtu huru kwa sasa.
Nilimueleza kwa sababu yeye ndiye alinisindikiza kwenda kuonana na Rais Magufuli kutoka Kigoma hadi Dar es Salaam tukipokelewa na...
Namna ya kubadili Wajumbe kuwa watu wazuri
===
UJUMBE MUHIMU KWENDA KWA WATANZANIA.
Kubadili wajumbe kuwa watu wazuri kupitia uchaguzo 2022 na 2027
Kama ambavyo Yohana aliyaandikia Makanisa saba {Ufunuo 1; 9-14} akiwa katika kisiwa cha Patmo,vivyo hivyo nami ninawaandikia Watanzania hasa...
Asanteni Sana Ndugu zangu. Katika mazingira ya kazi Kuna mengi. Mwaka wa Jana nilifanikiwa kukamata Pamba Tani 11 na ikataifishwa.
Waliokuwa wameificha pamba walikamatwa! Mwaka huu watu wale wale wamenifanyia hivi. Nafikiri Kama nilikosea kusimamia ukweli. Wamenibeba kwenye gari lao wakanitupa...
Leo tarehe 23/07/2020 nimekamata Kilo 5,584 za pamba Katika Kijiji cha NG'WAGALANKULU Tarafa ya Mondo Wilaya ya Kishapu zilizouzwa kinyume na utaratibu tena kwa kutumia mzani tofauti na kutunzwa kwenye nyumba ya mtu Jambo ambalo ni kinyume na utaratibu wa zao hilo ambalo linatakiwa kuuzwa...
Ninakusudia kuchukua fomu ya Kugombea Ubunge. Safari hii ni Kupitia Chama Cha Mapinduzi.
Kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa Mgombea wa CCM Jimbo la Buyungu itawasaidia Wana CCM wa Wilaya ya Kakonko kuwa na Machaguo mengi.
Kuhusu Ushindi wa CCM kwa nafasi ya Urais,hapo hakuna kazi...
"I will prepare ,and one Day my time will come" Abraham Lincoln.
"Nitajiandaa na siku moja muda wangu utafika"
Njia nzuri ya kuhakikisha ndoto yako inatimia ni kuendelea kujiandaa,ili itakapokuja ikukute uko tayari.
"USIACHE KUJIANDAA"
Wasalaam...[emoji1241][emoji122]
Katika kutembelea Vijiji vya Kishapu,wiki 2 zilizopita nilifanikiwa Kufika Kijiji Cha Seke IDIDI nikakutana na vyumba 3 vya madarasa na nyumba 2 za Walimu ambazoo zilijengwa miaka 7 iliyopita kwa nguvu za Wananchi kwa lengo la kuongeza Shule ya Sekondari ili kuwapunguzia Umbali Wanafunzi ikiwa...
Ninathibitisha kuwa Mimi siyo Mtendaji Wilaya ya Ngara wala sina marufuku yoyote kwenye Uhuru wangu wa kisiasa.
Take it from me.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeipata Barua ya @zittokabwe aliyoituma kwenda Kwenye Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Dunia.
Nimekumbuka shambulio la maneno ya @zittokabwe aliyofanya kwa @tundulissutz kwa kumuita Zwazwa baada ya CHADEMA kusema kuwa Wataishitaki Tanzania inyimwe misaada kutoka kwa Wazungu.
@zittokabwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.