Recent content by Eli Cohen

  1. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Hata chawa wanajua kuwa wanafanyaga kazi bure humu maana humu watu ni oil chafu ni basi tu wanatimiza majukumu kwa ajili ya ugali

    Fool me once shame on you, Fool me twice shame on me. Its 2026 bro, Hakuna alie tayari kuendelewa kudanganywa kama mtoto.
  2. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya chatgpt, Gemin na meta AI nani anatoa taarifa za kweli?

    Hahahah Nommaaa😅😅😅😅
  3. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Zinaa huleta balaa kwa wahusika?

    NO, muafrika ni bingwa wa mambo ya kufikirika. Balaa pekee la zinaa ni magonjwa, kufirisika kama unahonga sana na kuharibu mahusiano kama unafanya ufuska Haya manuksi mnayoyaongelea yapo tu afrika tena kwa kaya masikini na yanahimizwa ili kuwachanganya ili mpigwe pesa na mashehe wa kusoma...
  4. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    😁😁😁
  5. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    🔥🔥🔥 HAKUNA UBISHI HAPA . UNAPOOA DEMU ALIE CHINI KIMAISHA YAKO NA FAMILIA YAKO ANAKUWA SUBMISSIVE KWAKO NA ILI NDOA IWE ITULIE LAZIMA MMOJA AWE MASTER SAASA NGOJA UJICHANGANYE UOE DEMU KWAO WANA HARRIER ALAFU ANA MAKEBO MAKUBWA NDIO UTAJUA HAUJUI😁😁
  6. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Babati kila MWANAMKE ni mzuri ndugu zangu njooni muoe huku

    Ni wazuri wa sura Ila hawana makebo makubwa🍑 Lakini pia wengi wao ni singo maza tena unakuta binti tu mdogo kuanzia 14 or 16 amezalia nyumbani Asili yao inasemekana ni jamii ya watu waliotokea njia ya kutoka abysinnia (ethiopia) Ni wachapakazi sana mabinti wa kule sio lelemama
  7. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Challenge ya kuandika mstari mfupi wa wimbo bila kuutaja ni wimbo gan ili mwana JF amalizie mstari huo

    Brother man hemedy😁 https://youtu.be/V_JcqdXw9Aw?is=KSCuIH8jTnoHJxnt
  8. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Challenge ya kuandika mstari mfupi wa wimbo bila kuutaja ni wimbo gan ili mwana JF amalizie mstari huo

    Umenikumbusha longi😁
  9. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Challenge ya kuandika mstari mfupi wa wimbo bila kuutaja ni wimbo gan ili mwana JF amalizie mstari huo

    Mawardat win-one 🎵🎵" sina mpango mimi na sura yako, sina mpango mimi na shepu yako, nachotaka ni mapeeenziii....
  10. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Challenge ya kuandika mstari mfupi wa wimbo bila kuutaja ni wimbo gan ili mwana JF amalizie mstari huo

    Mo techniks🔥🔥🔥 ft mwinjuma kabla hajawa chawa😁
  11. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Challenge ya kuandika mstari mfupi wa wimbo bila kuutaja ni wimbo gan ili mwana JF amalizie mstari huo

    Aisseee basi tu😁😁😁
  12. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania KAHAMA NI MJI WA HOVYO SANA.

  13. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Je Kuna ukweli kwenye hili ya kubwa " wanawake wa kichagga ni wazuri sana kabla hujawaoa ila ukishawaoa so wazuri Tena"?

    You know, tumekuwa tukisikia haya mambo lakini ukiwa mtembezi na ukiwa exposed katika hizi jamii lazima ukutane na mambo hizi, sio woote ila asilimia kubwa wana hurka ambazo ndio kama utambulisho wa mapungufu ya kabila lao Mfano, wanawake wa kijita na kikerewe ni watu wa visa, ushirikina na...
Back
Top Bottom