Ni matokeo tu.
Ni kuzeeka ni process, na kufika uzee inanyima mwili wako kupambana , ndipo kifo huja.
Vita, ajali, yote haya ni matokeo ya process tofauti kutikana na maamuzi yako au ya wengine
Eyce
Marcostilone
life255
Hata uende wapi, ufanye nini na uamue uishi vp ujue kuwa pesa na urahisi wa maisha ndio inabaki kuwa motisha ya confidence, afya chanya ya akili na amani moyoni.
Na ili ufike hali hii inabidi utoe kafara ya mambo lukuki maishani mwako especially tabia ulizoea hadi...
Hakika mkuu
Hali hii imefanya vijana wengi wenye uwezo kuwa stuck katika maisha yao.
Logic ndio kila kitu.
Hakuna kitu kikubwa zaidi ya financial freedom maishani kama ulivyosema
Kuzaliwa ni matokeo ya ngono kati ya dad wako na mama yako.
Na ilifanikiwa wewe kuzaliwa kwa maana resources, msaada na afya njema vilikuwa pamoja.
Kuna jamaa miaka elfu ilipoita ili awafikishie huyo mungu wake ilibidi aue wanaume, watoto wanawake na wengine kubakwa.
Hakuna anaendesha maisha yako
Kimazinga ombwe
Hakuna anaeamua ni kiasi gani upate na kiasi gani ukose
Hakuna faraja ya kimazingara au muujiza kwa anaenyanyaswa
Hakuna adhabu ya kimazingaraa au muujiza kwa anaekunyanyasa
Sheria zinatungwa na alie na nguvu
Uimara wa akili yako ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.