NO,
muafrika ni bingwa wa mambo ya kufikirika.
Balaa pekee la zinaa ni magonjwa, kufirisika kama unahonga sana na kuharibu mahusiano kama unafanya ufuska
Haya manuksi mnayoyaongelea yapo tu afrika tena kwa kaya masikini na yanahimizwa ili kuwachanganya ili mpigwe pesa na mashehe wa kusoma...
🔥🔥🔥
HAKUNA UBISHI HAPA .
UNAPOOA DEMU ALIE CHINI KIMAISHA YAKO NA FAMILIA YAKO ANAKUWA SUBMISSIVE KWAKO NA ILI NDOA IWE ITULIE LAZIMA MMOJA AWE MASTER
SAASA NGOJA UJICHANGANYE UOE DEMU KWAO WANA HARRIER ALAFU ANA MAKEBO MAKUBWA NDIO UTAJUA HAUJUI😁😁
Ni wazuri wa sura Ila hawana makebo makubwa🍑
Lakini pia wengi wao ni singo maza tena unakuta binti tu mdogo kuanzia 14 or 16 amezalia nyumbani
Asili yao inasemekana ni jamii ya watu waliotokea njia ya kutoka abysinnia (ethiopia)
Ni wachapakazi sana mabinti wa kule sio lelemama
You know,
tumekuwa tukisikia haya mambo lakini ukiwa mtembezi na ukiwa exposed katika hizi jamii lazima ukutane na mambo hizi, sio woote ila asilimia kubwa wana hurka ambazo ndio kama utambulisho wa mapungufu ya kabila lao
Mfano, wanawake wa kijita na kikerewe ni watu wa visa, ushirikina na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.