Recent content by Eli Cohen

  1. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Ukiwauliza wana JF kumi kama uchawi upo, 8 kati 10 watakuambia upo ila ukiwauliza hao 8 kama wana uthibitisho 95% ya maelezo utagundua hawana uhakika

    Mshana Jr usiniroge bro ni maoni yangu tu na data za kutunga tunga😁
  2. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Haujafa leo kwa sababu haujafa leo, hakuna cha sijui haukuchaguliwa, mara siku yako haijafika ama haikuwa kwenye mipango

    Ni matokeo tu. Ni kuzeeka ni process, na kufika uzee inanyima mwili wako kupambana , ndipo kifo huja. Vita, ajali, yote haya ni matokeo ya process tofauti kutikana na maamuzi yako au ya wengine
  3. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Mimba imenifanya nichukie kuoga

    😁Aisee am finally retiring from jF😁😁 Duh😁😁
  4. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Mwana JF nini maana ya financial freedom? Ni vitu gani vitakubana usiifikie na vitu gani vitafanya uifikie?

    Eyce Marcostilone life255 Hata uende wapi, ufanye nini na uamue uishi vp ujue kuwa pesa na urahisi wa maisha ndio inabaki kuwa motisha ya confidence, afya chanya ya akili na amani moyoni. Na ili ufike hali hii inabidi utoe kafara ya mambo lukuki maishani mwako especially tabia ulizoea hadi...
  5. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Maisha yanapokubana, usikate tamaa—jifunze kuanza upya

    Hakika mkuu Hali hii imefanya vijana wengi wenye uwezo kuwa stuck katika maisha yao. Logic ndio kila kitu. Hakuna kitu kikubwa zaidi ya financial freedom maishani kama ulivyosema
  6. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Maisha yanapokubana, usikate tamaa—jifunze kuanza upya

    🔥🔥
  7. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Yanayotokea maishani mwetu sio nyota wala roho bali ni matokeo ya michakato ya maamuzi yetu, maamuzi ya watu wengine na reaction ya nature.

    Yaaaas,! Logic is an enemy kwa wengine mkuu, wewe umechagua logic, hongera sanaa
  8. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Maisha yanapokubana, usikate tamaa—jifunze kuanza upya

    Kinachowaumiza ni kukumbatia faraja za hisia huku mkidhania mambo yatabadirika. Fanyeni maamuzi ya kusshikika
  9. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Yanayotokea maishani mwetu sio nyota wala roho bali ni matokeo ya michakato ya maamuzi yetu, maamuzi ya watu wengine na reaction ya nature.

    Kuzaliwa ni matokeo ya ngono kati ya dad wako na mama yako. Na ilifanikiwa wewe kuzaliwa kwa maana resources, msaada na afya njema vilikuwa pamoja. Kuna jamaa miaka elfu ilipoita ili awafikishie huyo mungu wake ilibidi aue wanaume, watoto wanawake na wengine kubakwa.
  10. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Wanaume wanao wahi kufika kileleni wakamatwe

    Hakika mkuu
  11. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Yanayotokea maishani mwetu sio nyota wala roho bali ni matokeo ya michakato ya maamuzi yetu, maamuzi ya watu wengine na reaction ya nature.

    Hakuna anaendesha maisha yako Kimazinga ombwe Hakuna anaeamua ni kiasi gani upate na kiasi gani ukose Hakuna faraja ya kimazingara au muujiza kwa anaenyanyaswa Hakuna adhabu ya kimazingaraa au muujiza kwa anaekunyanyasa Sheria zinatungwa na alie na nguvu Uimara wa akili yako ndio...
Back
Top Bottom