katk TV station mbovu kabisa Tanzania ni TBC 2 clouds Tv na Chanel 10, hawana guiding programs, muonekano mbaya, sauti ndio ovyo kabisa.
Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
mi nakumbuka nilimaliza mafunzo yangu katk kazi niliyokua nasomea, gafla nikaitwa kwenye company moja kubwa hapa mjini inajishuhgusha na masuala ya utalii, kilicho fuata nilipewa ramani, oxgen cylinder, na first aid kit huku projector ikiwa imewashwa nikaambiwa nitoe briefing kwa wageni kutoka...
nashukuru sana mkuu. but ninaufahamu mzuri sana wa madawa.
kuhusu kua na Alegre sina hilo tatizo! pia sio mara ya kwanza kutumia hii dawa. ktk kumbu kumbu zangu sijawahi kutumia dawa yoyote ya malaria tofauti na malafin.ila najishangaa na hali niliyonayo sasa kwani nimetoka magamba kama nyoka.
juzi tarehe 7 nilianzwa kuumwa gafla mida ya ucku, ilioofika asubuhi hali ilikua mbaya sana! nilikwenda hospital na kufanya vpimo vya malaria, majibu yalikua nina malaria 3. niliandikiwa dawa ya malafin, nilitumia na kwenda nyumbani kupumzika,nashukuru nimepona but nimejikuta nimeungua kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.