Recent content by elfusifuri

  1. E

    Fanuel Sedekia ni marehemu!

    RIP... mbele yetu, nyuma yake. Nawapa pole wafiwa. Kwenda kuhubiri Ukristo kwa watu ambao mababu zao walimkana na kumsulubu Kristo, tena huku wakiapa kuwa damu yake iwe juu yao na vizazi vyao... Nilichojifunza, kuna kazi zinahitaji wito na moyo wa kujituma Bwana alitoa, Bwana ametwaa
  2. E

    Mchunguzi Mwandamizi wa TAKUKURU afikishwa Mahakamani akidaiwa kuomba na kupokea rushwa

    Wenzetu wa Ziwa Magharibi wanavyopenda sifa, si ajabu alisifiwa na Wafanyaboashara akajiingiza kichwakichwa. Pole kwake, maisha ni popote. Atakuwa na cha kusimulia wajukuu kuhusu 5th phase'. MUNGU amtangulie. .
  3. E

    Huu utaratibu wa Waandishi wa Habari wa Tanzania ni wa kishamba na wa hovyo

    Heko mkuu, msg sent. Lakini kuwasema hao inabidi kuwa na kifua. Nasubiri kuona kama wamekuelewa
  4. E

    Mfahamu SECRETARY BIRD

    Asante mkuu kwa habari nzuri. Hii ipo kwenye ilani ya ....... kuhusu kuhifadhi mazingira. Aslam-aleikum
  5. E

    Maalim Seif akamatwa na Polisi huko Visiwani Zanzibar, Polisi wakana kumshikilia

    Moja ya maridhiano ilikuwa ni kuunda Serikali (SMZ) ya Umoja na ya mpito kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2015 Dkt. SHEIN - Rais SMZ Maalimu SEIF - Makamu wa Kwanza Balozi SEIF - Makamu wa Pili Tunafahamu kilichotokea ZNZ ktk Uchaguzi Mkuu 2015. Hata leo SMZ hakuna Makamu wa Kwanza wa Rais. Balozi...
  6. E

    Maalim Seif akamatwa na Polisi huko Visiwani Zanzibar, Polisi wakana kumshikilia

    Akamatiwe ZNZ, lawama kwa JPM. Ama kweli mtoto mpumbavu ni hasara kwa mama yake
  7. E

    Arusha: Vifaranga vya kuku 5,000 kutekelezwa kwa moto baada kukamatwa vikiingizwa nchini kwa magendo kutoka Kenya

    . Mkuu., naunga mkono hoja. Tatizo ni baadhi ya WaTZ wamejifanya wako juu ya sheria wakihitaji kupewa mtazamo tofauti na WaTZ wengine. Pindi wakichukuliwa hatua za kisheria kwa makosa wanayofanya (k.v. magendo) wanataka iwe ni suala la kitaifa. Wanataka kutuaminisha kuwa uteketezaji wa...
  8. E

    Ombi la Msukuma kwa Rais katika jimbo lake

    Pole Mh. MSUKUMA WP ni wachache na mahitaji ni makubwa. Endelea kuwasihi wananchi wa Jimbo lako kuendelea kumilia
  9. E

    Kwanini wamarekani weusi wanapenda kuonesha hela walizonazo?

    Mkuu, kumbuka usemi wa 'Ukishangaa ya Musa utakutana na ya Firauni' Almasi wa hapa kwetu alishafanya hivyo.
  10. E

    Rais wa Tanzania Mh. John Magufuli adumisha mshikamano na Kenya

    Kuimarika kwa mahusiano ya Bongo na Nyayo, ni vema na haki kutambua na mchango wa Rais UHURU KENYATTA
  11. E

    Nje ndani mkoa wa Shinyanga

    Kama wewe ni mzee halafu una macho ya msimbazi nakushauri usiende
  12. E

    Watafiti wafanikiwa kuondoa VVU kwa panya

    UKIMWI ni zimwi lililoumbwa na USA, wataishia kutafiti tu japo tiba wanayo. Suala wanalojiuliza ni Programs na NGOs zilizoanzishwa kwa ajili ya kupambana na kuenea kwa UKIMWI zitakwenda wapi endapo tiba ikipatikana.
  13. E

    WanaJF kweli wanaume tunazidi kupungua,ni hatari mno.Mabrother'poa wapo wengi mtaani

    Hayachoki kujitangaza na hayaoni aibu hata ukiyatukana vipi.
  14. E

    Kwako Tundu Lissu

    TZ bado tuna safari ndefu. Utawala kwa Sheria kwa waTZ wasiojua sheria pamoja na wanasheria wasiofuata sheria, wakiwepo na watunga sheria (wabunge/wawakilishi) wasiozingatia kanuni (walizojipangia) za Bunge linalotunga sheria,,, HII NI KIZUNGUZUNGU...AENDELEE KUKAA UZUNGUNI MUNGU IBARIKI TANZANIA
  15. E

    Mungu ibariki Algeria kesho dhidi ya CCM

    Kusema T'Stars ni ya Chama fulani,,, ni fikra binafsi na ushabiki fulani... Kujitekenya - ukacheka, ni mambo ya kilimwengu (raha jipe mwenyewe)., lakini kujifinya - ukalia, jua una tatizo. Ulimwengu wa Soka ni mchakato, T'Stars ni yetu. MUNGU ibariki Taifa Stars. MUNGU ibariki TANZANIA
Back
Top Bottom