Recent content by Elevat Kapela

  1. E

    Wahubiri wangu wa mfano Tanzania

    Watchman Nee, vitabu vyake vimenisaidia sana!
  2. E

    Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Unapoota unafanya mitihani na umefeli na haujamaliza maswali hii ina maanisha KUNA KOSA AMBALO UTALIRUDIA TENA.
  3. E

    Kusema Kahama ni pazuri kuliko Shinyanga Mjini hilo mimi nakataa kabisa

    Kahama yetu inalinganishwa sana na miji mbalimbali kimaendeleo. Yaweza kuwa tunapiga hatua nzuri ndio maana ya hii milinganisho!
  4. E

    Ukimwelewa vizuri Zitto Kabwe utagundua, wapinzani ndiyo huiba kura siyo CCM!

    Najaribu kukuelewa, mwishowe nimeshindwa!
  5. E

    Mwamposa Buldoza anazo nguvu za kweli

    Tengeneza tatizo, tatua tatizo na watu watakupenda na kukufuata! Mwaga mapepo yako, yakemee mapepo yako!
  6. E

    Wito wangu kwa wana CCM

    Naona huyu Magufuli mmeshamfanya 'Untouchable', kwamba yeye hakuwahi kukosea katika utawala wake. Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
  7. E

    Rais Samia atuombe msamaha Wakristo, Simba wa Yuda kwetu ni Yesu Kristo peke yake

    Naamini Bwana Yesu Kristo atajitetea mwenyewe. Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
  8. E

    Rais Samia atuombe msamaha Wakristo, Simba wa Yuda kwetu ni Yesu Kristo peke yake

    Angesema simba wa Chattle. Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
  9. E

    Kwanini Magufuli anachukiwa na CCM, Chadema, ACT, CUF na wasomi wengi ila anapendwa na wanyonge?

    Wacha nilitafute andiko lililosema vinyonge havitaurithi uzima wa milele. Nitakurudia. Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
  10. E

    Kwanini Magufuli anachukiwa na CCM, Chadema, ACT, CUF na wasomi wengi ila anapendwa na wanyonge?

    Hivi wanyoge ni watu wa namna gani, maana Biblia yenyewe imenena vinyonge havitaurithi uzima wa Milele? Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
  11. E

    Maisha yangu na baada ya miaka hamsini: Simulizi ya maisha ya Shaaban Robert

    Endelea . ....... Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
  12. E

    Wanasheria mko wapi kupinga suala la kodi mbili kwenye miamala?

    Kwani wanasheria ndo waliopigia kura ccm na kuiweka madarakani?
  13. E

    Uchumi kwanza, Katiba isubiri. Acheni chokochoko!

    Vijana tunayumba sana hata kuaminika kunaisha kabisa! Mara uko CHADEMA, muda mfupi uko ACT, hujamaliza miaka hata mitano uko CCM. Huwa najiuliza, hata jamaa, ndugu, watoto wako na mke wake wanakuelewaje?
  14. E

    Waziri Mwigulu jitahidi kupitia wafuatao ili historia ya uchumi utusadie

    Kama hii orodha haina Prof Ibrahim Lipumbq ni batili. Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
  15. E

    Mwanahalisi imepotosha kauli ya Mbunge wa Tanga (Viti Maalum)

    Hili nalo ni vita vya kiuchumi? Duuuuuh! Ama kweli mwendazake aliiharibu hii nchi. Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom