Recent content by Elementi

  1. Elementi

    Kijana Hamisi wa BSS nani anamjua

    Habari wakuu, Kuna kijana anaitwa Hamisi ,alikuwepo kwenye mashindano ya BSS. Ni kijana ambaye kwa muda mfupi watu wamempenda sana. Lakini kwa sasa ameondolewa kwenye mashindano hayo. Naombeni msaada kwa anayejua mawasiliano yake au anayeweza kunifikisha mahali anapoishi, au hata kunielekeza...
  2. Elementi

    Amejinunulia jeneza ili akifa ndugu zake wasipate tabu

    Nimeshangazwa sana na stori ya mwanamke alie jinunulia jeneza, hayo yamekua ni maandalizi ya mazishi yake endapo atafariki dunia. Amenunua jeneza lenye thamani zaidi ya Tsh 22million. Huyu ni mwanadada kutokea Afrika kusini
  3. Elementi

    Nimekurupuka kuishi kwenye nyumba ya bei kubwa

    tusipotoshane Tumetofautiana kipato mkuu
  4. Elementi

    Nimekurupuka kuishi kwenye nyumba ya bei kubwa

    Boss ndio kwanza nimekaa mwezi mmoja tuu hapa...nimebakiza miezi mi 5
  5. Elementi

    Nimekurupuka kuishi kwenye nyumba ya bei kubwa

    Nakiri kuwa nilikurupuka kupanga nyumba ya bei kubwa. Mwanzo nilikuwa naishi kwenye chumba kimoja ambacho kodi yake ni 50,000 kwa mwezi. Nikachoka kuishi kwenye chumba kimoja, nikajifikiria nikaona bora nitafute chumba na sebule ambapo ofa yangu ambayo niliiandaa ni shilingi 80,000. Harakati za...
  6. Elementi

    Naomben msaada wa mawazo

    Nimeyapenda maamuzi ya jamaa alie kuacha sababu huna kazi......kuishi na mwanamke asiye na kazi Ni mzigo sana
  7. Elementi

    YouTube channel inauzwa

    Nipe namba mkuu
  8. Elementi

    Msaada wa haraka jamani

    Imepona mkuu
  9. Elementi

    Adobe Photo Shop

    Unataka msaada UPI..
  10. Elementi

    Msaada wa haraka jamani

    Shukrani mkuu
  11. Elementi

    Msaada wa haraka jamani

    PC yangu ilikua nzima kabisa ...ila kuna mambo madogo madogo hayakuwa poa,nikashauliwa niipige Window... Kwenye kupuga window naona mambo kama yameharibika zaidi Yaani inagoma... Wenye kujua haya mambo naombeni mniambie shida itakuwa ni nini hapa
  12. Elementi

    Chezea pesa ila usicheze na mahusiano

    Unataka kutuaminisha kuwa mapenzi na pesa muhimu ni mapenzi....una matatizo wewe
  13. Elementi

    Kijana unapoamua kuoa mwanamke mrembo, msomi au binti wa kidijitali basi kubaliana na haya...

    Habari wakuu, Leo kwenye pitapita zangu humu JF nimekutana na msamiati mgumu, member mmoja ameandika 'BADO KUNA MWANAUME ANAOA MWANAMKE ALIE FIKA CHUO' Tujuzane jamani hawa wanawake waliofika chuo huwa wanakua na matatizo gani?
  14. Elementi

    Hospitali za Serikali unaweza ukafa huku unajiona

    Jamani wanaume wenzangu tutafute hela kweli kweli..Leo nimemsindikiza jirani angu kwenda hospitali (palestina) Aliniamsha asubuhi sana akidai usiku kichwa kimemuuma sana hivyo aliniomba kwakutumia usafiri wangu (gari) nimpeleke hospitali akatibiwe.. Nikaona sio mbaya ngoja...
  15. Elementi

    Tupeane Uzoefu: Biashara gani ilikushinda?

    Nimelipenda jibu lako mkuu Hawa mbuzi huwaga ni wasumbusfu sana
Back
Top Bottom