Wakuu naomba mwenye kujua topics za pre entry course ngazi ya diploma ktk hizi technical college haswa Must and Atc zipo vipi katika soma la Physcis na mathematics topics ni zipi wakuu?
Wakuu naomba mwenye kujua topics za pre entry course ngazi ya diploma ktk hizi technical college haswa Must and Atc zipo vipi katika soma la Physcis na mathematics topics ni zipi wakuu?
Wakuu nina level two kutoka Veta nina cheti cha four kina four ya 28 kina pass za Chemistry na biology then F ya hesabu na physcis sikufanya Je niombe direct entry Atc au must? au niombe indirect entry vp mziki wa pre entry wakuu? naomba pia mnijuze Soko la ajira kwa biomedical engineering ambao...
mkuu umeniacha kidogo hio automatic inverter charge ni tofauti na inverter yenyewe au ni aina ya inverter ambayo iko ivo? Then hapo kwenye connection na plug hio charger controller kwenye tanesco harafu?? output na peleka wapi kutokea apo katika charge controller
Wakuu mwenye uzoefu wa hizi vitu anijuze mfano ni battery ya Gari 12V capacity 45A.H Mwanzo niliunga na solar now tanesco wameleta umeme nahitaji kuunda back up system na hizo battery iwe ina chajiwa na Umeme wa Tanesco je naweza kuicharge na 240V? Na je ntatumia kifaa gani ikishajaa iache...
Naomba maelezo ya kina kuhusu tafsiri ya power factor na kwann tuna coreect na pia why devices kama Generators na transforner viko rated ni Kva nieleze kwa lugha rahsi ntakuelewa nina elimu basically ya umeme ila napata ugumu kutafsiri hiii power factor
Ndio jibu hilo? jamaa kauliza sisi tumetoka wapi akiwa na sure kuwa God created us sio!? sasa who created God mana hataki kuamini kama tume exist tu kama anavyodai kuwa mungu alikuwepo tu
Habari zenu wana tech, Nilikuwa na maswali machache ambayo ningeomba ufafanuzi wake, kwanza Katika kusafirisha umeme mkubwa yani High voltage kuanzia 33 au 66KV tunaweka neutral? yani kunakuwa na conductor nne je neutral ya kazi gani pili katika umemw mkubwa kabisa kama 132kv ambapo tunatumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.