Recent content by Elber Ahmad

  1. E

    Msaada kuhusu NACTE jamani

    Hata akiapply kupitia TCU, atakuta Kuna sehem mbili moja ni kwa directly na nyngne kwa diploma, hiyo kwa diploma akiingia itafunguka NACTE , halaf jitahidin kudownload TCU guide book 2016 /2017 utakuta mwongozo wote
  2. E

    Vipi kuhusu hii bodi ya mikopo 2016

    Acha kuwazingua vijana, maombi bado! Then vijana acheni kutafuniwa kila kitu hebu ingieni www.heslb.go.tz mjiridhishe
  3. E

    Bodi ya mikopo Tanzania ( msaada wanajamvi)

    Maombi bado ndugu, au wewe una bodi yako ya mkopo? Hebu ingia muda huu ktk tovuti ya bodi then ukiliona tangazo screen shot halaf tuma tuone
  4. E

    Bodi ya mikopo Tanzania ( msaada wanajamvi)

    Hakuna fomu ya helsb iliyotoka kwa mwaka 2016 /2017, maombi bado
  5. E

    Tamko: Ukweli uliojificha kuhusu Kitwanga kufukuzwa Uwaziri

    Hao madiwani wanashangaza, wabunge pamoja na waziri mkuu walishuhudia pale mjengoni jinsi kitwanga alivyouchapa mtindi
  6. E

    Waliochaguliwa SUA tukutane hapa

    vijana msiogope bhana! SUA hakuna kudisko semister ya kwanza! ila ukmalza mwaka wako wa kwanza kama umepata credit hour chini ya kumi na sita itabd 2 ufungashe virago! na pia SUA ni chuo kinachoangalia GPA na credit hour kwa wakat mmoja
  7. E

    Waliochaguliwa SUA tukutane hapa

    acha kuwaongopea madogo, hakunaga kufungasha virago semister ya kwanza
  8. E

    Kaimu DEO na Mtaaluma Simanjiro mnaua elimu

    simanjiro mmejaaliwa kupata mbunge mpya! mkiona DED wenu hafuatilii jaribu kumuona james millya then mumpe malalamko yenu
  9. E

    Geographia ya SUA

    sio first year wote wanaripoti mazimbu campus! koz kama bvm, animal science, general agriculture, food science n.k wao wanaripoti main campus
  10. E

    Vyuo vilivyotoa majina hadi sasa

    yaaaah! ni kweli kwa hvyo ulvyovitaja vmeanzakutoa majina
Back
Top Bottom