Hata akiapply kupitia TCU, atakuta Kuna sehem mbili moja ni kwa directly na nyngne kwa diploma, hiyo kwa diploma akiingia itafunguka NACTE , halaf jitahidin kudownload TCU guide book 2016 /2017 utakuta mwongozo wote
vijana msiogope bhana! SUA hakuna kudisko semister ya kwanza! ila ukmalza mwaka wako wa kwanza kama umepata credit hour chini ya kumi na sita itabd 2 ufungashe virago! na pia SUA ni chuo kinachoangalia GPA na credit hour kwa wakat mmoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.