Watakua wanajua...Hii system ya kila chuo kutoa selection zake imekua tatizo...vyuo vingi vimeshindwa kufungua websites zinazoweza kupokea wa2 wengi kwa mda m1 ..hii ndo inasababisha igome kufunguka..sema wametangaza jana watatoa after 2 dayz(j3)
nimeingia kwenye account yangu nliyoifungua nlipokua naAply dit..nikakuta taarifa ya kuchaguliwa na wakanitaka niConfirm kama ntaenda(kwasabab nimechaguliwa pia na chuo kingine)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.