Recent content by Elak

  1. Elak

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Exchange deal...(Samsung s6 edge 32gb + money) kwa s7 edge au iphone 7
  2. Elak

    Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

    Ningependa kujua historia ya John Challange.... kwaSasa ni telecom engineer ila anafundisha twishen pale mwenge (eku 345)
  3. Elak

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Hivi naweza nikaifanya namba yangu ya kawaida iwe ya chuo
  4. Elak

    Hivi kweli DIT uploading selection imewashinda mpaka leo!!?!

    Watakua wanajua...Hii system ya kila chuo kutoa selection zake imekua tatizo...vyuo vingi vimeshindwa kufungua websites zinazoweza kupokea wa2 wengi kwa mda m1 ..hii ndo inasababisha igome kufunguka..sema wametangaza jana watatoa after 2 dayz(j3)
  5. Elak

    Hivi kweli DIT uploading selection imewashinda mpaka leo!!?!

    Nilitumia cm mkuu...ilikua jana asubuhi web yao ilikua haisumbui..ila sahv haifunguki
  6. Elak

    Hivi kweli DIT uploading selection imewashinda mpaka leo!!?!

    nimeingia kwenye account yangu nliyoifungua nlipokua naAply dit..nikakuta taarifa ya kuchaguliwa na wakanitaka niConfirm kama ntaenda(kwasabab nimechaguliwa pia na chuo kingine)
  7. Elak

    Hivi kweli DIT uploading selection imewashinda mpaka leo!!?!

    Kuweni wapole wakuu....inaonekana wanayaRelease taratibu..mimi sijasoma dit ila majibu washanipa tangu jana asubuhi
  8. Elak

    Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

    *Umekula mshikaki Wa 500 unatenmbea na stick mdomon je siku ukila kuku c utatembea na kun wewe*
Back
Top Bottom