Nakubaliana na mtoa hoja....Nina rafiki yangu nimesoma nae chuo na ni mshikaji...jamaa anawakimbiwa na wadada kwa sababu wakikutana uume hausimami kabisa hata kwa dawa....Hivyo ukikutana na mdada alafu amuahidi kua wasifanye mpaka ndoa hapo itakua sawa kuuziwa mbuzi kwenye gunia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.