Karibu nachingwea ardhi ipo ,Kuna mazo matatu makuu na yote ni Hela tupu
1.Ufuta .huu huvunwa kati ya mwezi wa nne hadi sita,ni Hela tupu
2.Mbaazi hizi huvunwa kati ya mwezi wa sita hadi nane,hii ni Hela nyingine na gharama za uzalishaji ni ndogo mno
3.Korosho.Hili ndiyo zao mama .nadhani hii...
Wakuu habarini,ningependa kupata ufafanuzi,mara ya mwisho mke wangu alipata hedhi 20/4/2023.Ilitakiwa apate hedhi tena 17/5/2023 hakupata .22/5/2023 tukapima kupitia UPT ikaonesha ujauzito .1/8/2023 tukaenda kwa ajili ya clinic kama hudhurio la kwanza.Majibu ya ultrasound yakaonyesha ujauzito...
Wakuu natanguliza salamu zangu kwenu.
Kama kichwa cha Uzi kinavyojieleza, natafuta ajira ya kufundisha shule au kuwa tutorial assistant kwa masomo niliyotaja. Lazima nikiri nimeomba ajira za TAMISEMI Kwa miaka sita bila mafanikio yoyote. Nikaona labda bahati yangu ipo JamiiForums.
Kwa hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.