Umewahi kukutana na Tabia Gani za kushangaza kwa Mama Watoto wako alipokuwa Mjamzito?

MoroGent

Member
Jan 10, 2018
79
311
Habari wakuu,

Hope wote mko salama. Wale wenzangu na mimi ambao wake zao ni wajawazito a.k.a baba kijacho tuelezane na kushirikishana maswahibu na changamoto tunazopitia ili tufurahi na kupeana moyo wa kuvumilia.

Hahaha

Mwenzenu naambiwa nivue nguo nibaki na boxer tu tunapoanza kula chakula, kwamba namkera nikila na nguo.

Nafanya ivo na maisha yanaenda 19 weeks now
 
Habari wakuu,

Hope wote mko salama. Wale wenzangu na mimi ambao wake zao ni wajawazito a.k.a baba kijacho tuelezane na kushirikishana maswahibu na changamoto tunazopitia ili tufurahi na kupeana moyo wa kuvumilia.

Hahaha

Mwenzenu naambiwa nivue nguo nibaki na boxer tu tunapoanza kula chakula, kwamba namkera nikila na nguo.

Nafanya ivo na maisha yanaenda 19 weeks now
5c3b6be31bb546009e46d29698e4bd04.jpg
 
Habari wakuu,

Hope wote mko salama. Wale wenzangu na mimi ambao wake zao ni wajawazito a.k.a baba kijacho tuelezane na kushirikishana maswahibu na changamoto tunazopitia ili tufurahi na kupeana moyo wa kuvumilia.

Hahaha

Mwenzenu naambiwa nivue nguo nibaki na boxer tu tunapoanza kula chakula, kwamba namkera nikila na nguo.

Nafanya ivo na maisha yanaenda 19 weeks now
 
Habari wakuu,

Hope wote mko salama. Wale wenzangu na mimi ambao wake zao ni wajawazito a.k.a baba kijacho tuelezane na kushirikishana maswahibu na changamoto tunazopitia ili tufurahi na kupeana moyo wa kuvumilia.

Hahaha

Mwenzenu naambiwa nivue nguo nibaki na boxer tu tunapoanza kula chakula, kwamba namkera nikila na nguo.

Nafanya ivo na maisha yanaenda 19 weeks now
Mnapoanza kula chakula kipi, vyakula ni vingi ujue😀😀 vumilia baba kija yatapita
 
Habari wakuu,

Hope wote mko salama. Wale wenzangu na mimi ambao wake zao ni wajawazito a.k.a baba kijacho tuelezane na kushirikishana maswahibu na changamoto tunazopitia ili tufurahi na kupeana moyo wa kuvumilia.

Hahaha

Mwenzenu naambiwa nivue nguo nibaki na boxer tu tunapoanza kula chakula, kwamba namkera nikila na nguo.

Nafanya ivo na maisha yanaenda 19 weeks now
Mh ni majanga ,wangu hataki kunipa kitumbua,napata kwa tabu sana ati anajiskia vibaya,week ya 19 sasa .
 
Back
Top Bottom