Recent content by el sanchos

  1. E

    Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Profesa Mwesiga Baregu Ahoji Bunge Kuchangiwa na Makampuni ya Umma

    halafu wamegoma kulipa pensheni mpya ya kima cha chini cha laki ati iyo inawahusu wale wa serikali tu. wamebaki na zile zile za 50,000/-. ni shauri ya hii michango a.k.a rushwa
  2. E

    Kamanda Mawazo ameuawa na Mfumo wa Jeshi la Polisi - Lema

    mawazo gani Haya!!? kuna kisa chchte duniani knachoweza halalisha kutoa uhai wa binadamu hata kabla ya hukumu ya mahakama!? au ni yaleyale ya "wapigwe tu kwa maana hakuna namna"? pinda katoa kauli, kaachana na siasa, anakula pensheni yake kaacha wananchi "wanapigwa tu" na sasa "wanauawa tu"...
  3. E

    Kibatala: Dr. John P. Magufuli aligomea wito na amri ya mahakama na kuonywa

    halaf wakamgwaya.? wamkamate akiwa jukwaani ili wadhiitishe kuheshim utaala was sheria. kudadadek
  4. E

    Picha: Magufuli atinga jikoni kusonga ugali

    hii Kali. na mashoga nao wamwalike, wakwezi, aingie madarasani kusiko madex, afanye kazi za vibarua...nk. wanaita kuingia jikoni. Maji ya shingo
  5. E

    AIBU: Angalia Usanii na Hadaa za CCM kwa wananchi Juu ya warudisha kadi za CDM

    halafu wanaoridisha ni wa CDM tu. cuf, nccr wala nld huwa hawarudishi?! mgombea gani anashiriki usanii kama huu akajinasib kuwa rais makini!!
  6. E

    Kwa January Makamba tu

    my goodness!! mm ni Mzee lkn nimefarijika kusoma busara hii. je ni kweli madaktari (kina januari) wamepoteza ule moyo wa kufurahi wanapowaona wagonjwa wao wamepona na wako njiani wanafurahia maisha? au ni walewale wanaohamishia madawa ktk maduka yao na kuwaandikia wagonjwa wakanunue huko...
  7. E

    Rais Kikwete ni lini utapeleka mafao ya wastaafu katika mfuko wa PSPF?

    naona sio pspf tu. ppf hawajalipa kile kima cha laki kwa kisingizio ati nyongeza ile ya kima cha chini inawahusu mashirika ya serikali tu. hivo mashirika kama nssf, ppf hayahusiki. hivo ndo serikali yetu inavotoa vivutio unapokaribiia uchaguzi - kutulisha upepo. damn them
  8. E

    Waraka kwa Dr. Slaa

    Tabby nimesikia na kusoma kuwa uamuzi was kumkubali EL CDM ulifikiwa baada ya tafakuri ya muda so mfupi. hats hivo, muda huo ukipimwa unakidhi mahitaji ya wakati? au kwa ule mfano was kinyesi toka choono hadichumbani, je, na wenyewe ulikuwa wa kukurupuka? ikiwa maamuzi haya yalifanywa bila...
  9. E

    Dr. Slaa kuzungumza na Vyombo vya Habari, Serena Hotel - Septemba 1, 2015

    sala kabambe. ktk siasa wanaweza kanyagana vidole na hili likitokea waliokanyagwa vidole wanapata maumivu. watajiuliza watu, je, ilikua no lazima vidole vikanyagwe katika mzingira Yale? lipi lifanyike ktk mazingira Yale? hapo watu watatafuta kujua ikiwa ktk ktafuta kufikia malengo ya wakati...
  10. E

    Dr. Slaa kuzungumza na Vyombo vya Habari, Serena Hotel - Septemba 1, 2015

    sala kabambe. ktk siasa watakanyagana vidole mwenye kidole kilichokanyagwa atasikia maumivu. je,
  11. E

    Uzinduzi wa Mradi wa Mabasi yaendayo Kasi(BRT) Dar - Agosti 17, 2015

    yaani ni mfano halisi wa toilet pepa!? alirudia kutafuta maoni kinyume cha sheria,aliongeza wafu, akahamishia watanganyika kule zenji, akawapigisha kura mahujaji, wagonjwa waliolazwa wodini ili kumsafisha mtu ktk maeneo flani yaliyo nyeti ili asinuke?! sasa baada ya hapo nani ananuka? kama...
  12. E

    Waraka kandamizi kwa wafanyakazi kumnyima Magufuli/CCM kura

    kwani ni hiyo tu! hata hili agizo LA kupandisha kima cha chini cha pensheni, mashirika husika wamelizarau. ppf wanaendelea na 50 zao za kima cha chini kwa kisingizio kuwa agizo linawahusu waliokuwa watumishi was serikali. sijui kama lapf, pspf na wengineo wamekubali. no wakati sasa na wastaafu...
  13. E

    Dr. Makongolo Mahanga kuhamia chadema

    na huko anakokwenda, akikosa ubunge atahamia wapi? CUF? NLD? TLP?...alizaliwa kuwa waziri?!
  14. E

    Gwajima vs Kova Chanzo ni Dr. Ulimboka

    madudu kova anayoshabikia na kuyaonyesha ktk TV yanatudhalilisha. huyu mtu alisomea wp masuala ya upelelezi? anaamini ktk kukusanya vielelezo akiamini ndo kamaliza kazi. alipomkamata yule aliyemshtumu kumtesa Ulimboka akaamini tutamsifia kazi nzuri. akamtesa bure kijana wa watu. wamemtoa wapi huyu!
Back
Top Bottom