paul illakwahhi
New Member
- Sep 2, 2015
- 2
- 0
Ni maslahi tu jamani hawa vijana wanahitaji maisha mazuri
Mkuu siyo vijana walioajiriwa,sema vijana waliobebwa kupata ajirana wewe kwanini umeusoma na kumjibu? Kwani wewe ndio Makamba J?
Fasihi inakusumbua na ilikusumbua darasani. Dhima ya andiko hilo ni kwa vijana wote mlio wagumu kubadili mfumo wa siasa na utawala wa nchi kwa maslahi yenu na wanenu. Wazee yao ilikuwa jana na leo na kesho ni ya vijana. Kubalini matokeo japo yana gharama zake zinazorekebishika kuliko mfumo huu kandamizi mnaoutetea. Na kwanini vijana wengi mlioajiriwa mnakuwa rigid and conservative kwa kiasi hiki? Badilikeni bwana msiwe kama kanuni za hisabati.
Sikudhihaki ndugu yangu wa Bumbui, lakini tofautisha kati ya kazi, fedha, madaraka, huduma na personal satisfaction.
Watu wa kizazi kipya kama chako huwa wanaitazama na kuiona Tanzania kwa jicho la kisasa zaidi na lenye matumaini makubwa kuliko wazee. Tuwashukuru wazee wetu kwa kututafutia uhuru, lakini kazi ya kututafutia maendeleo sio ya kwao tena. Vijana tuna matatizo ya maisha, lakini hatuwezi kutegemea kutatua matatizo yetu kwa kutumia akili ileile na watu walewale waliosababisha matatizo yetu, nilazima tuyatafute majibu hayo nje ya sanduku. Bahati mbaya wazee hawakubali mabadiliko ya haraka na hawana tabia ya kuwaamini vijana hata kidogo kama watawafikisha mbele. Wazee mara zote huwa wana kauli za don't, don't don't nyiiingi kwa vijana kwa kila jambo hadi kufikia kuviua vipaji vya vijana wao.
Kijana kubaki CCM ni sawa na kijana aliyekwenda ng'ambo na kufanya kazi za kutunza wazee kwenye kambi za wezee. Nimewahoji vijana wengi wanaofanyakazi ya kutunza wazee Ulaya na Marekani, wengi wao wanakiri wanalipwa na kupata pesa nyingi lakini hawana raha ya kazi (job satisfaction) kwasababu ya kutumia muda wao mwingi kukaa na vizee.
CCM ni chama cha wazee, huna jipya wewe kijana utakaloweza kuwaambia(status quo), ndio maana vijana wengi wenye akili nyingi kama zako wanatafuta mabadiliko ya nchi nje ya CCM (outside the box) ili kuepuka kukaa karibu na wazee wa enzi za TANU, KANU, UPC, ZANU-PF, Frelimo, nk ambao kumbukumbu yao hadi leo ni harakati za ukombozi tu basi. Nyimbo zao ni zile za akina Salimu Abdalah, Fundi Konde, na Juma Balo.
Watu kama wewe, Angela Kairuki, Bulaya, Nape, Filikunjombe, n.k mtaleta mabadiliko gani mkiwa katikati ya kundi la wazee wa CCM? sio kama mnatafuta kurogwa tu nyinyi?. Najisikia uchungu sana kuona vijana wenzetu kama nyiye wenye maarifa na weledi mkubwa mkijitenga na mkizomewa na vijana wenzenu majukwaani na sehemu mbalimbali za mijumuiko kwa kutetea chama na sera zilizowafikisha vijana hapa walipo. Huhitaji kuwa na fedha nyingi ili kuwa na furaha, ila unaweza kuwa na furaha iliyopitiliza kama ukigundua kuwa mchango wako umesababisha watu wengine kuwa na amani, furaha na nafuu ya maisha. Ninajisikia mwenye furaha tele kumaliza maumivu aliyokujanayo mgonjwa kwangu na kumfanya arudi tena kwenye jamii kuendelea na kazi zake, najisikia furaha ninapokutana naye mitaani mgonjwa wangu akiwa hana matatizo tena. Unajisikiaje wewe kama January Makamba kutetea chama ambacho kina matokeo ambayo yanakufanya kuwaona vijana wenzako wakiiba mifuniko ya chemba ya majitaka, kuitwa vishoka, kukata alama za barabarani wakauze kama chuma chakavu, kufanya kazi ya kuzunguuka na mashati mawili mitaani kuuza, kupanga bidhaa chini barabara za waenda kwa miguu, kukosa ajira, n.k?
January Makamba na vijana wenzako mlioko CCM, mnajisikiaje kuona vijana wenzenu wengi wanashabikia vyama vya upinzani? mnadhani wana shida gani? wamerogwa? hawana akili au kumetokea nini?
Vijana wamekata tamaa, hawaoni kama ndani ya CCM kuna mtu ambaye hatawadanganya tena kuhusu maisha yao. Hamuoni kama mnaweza kutengeneza tanzania mpya yenye matumaini kwa vijana kwa kuungana na vijana wenzenu nje ya CCM?
Shikamoo kavulata
Wenyewe wanasema c c m ni ileile
Sikudhihaki ndugu yangu wa Bumbui, lakini tofautisha kati ya kazi, fedha, madaraka, huduma na personal satisfaction.
Watu wa kizazi kipya kama chako huwa wanaitazama na kuiona Tanzania kwa jicho la kisasa zaidi na lenye matumaini makubwa kuliko wazee. Tuwashukuru wazee wetu kwa kututafutia uhuru, lakini kazi ya kututafutia maendeleo sio ya kwao tena. Vijana tuna matatizo ya maisha, lakini hatuwezi kutegemea kutatua matatizo yetu kwa kutumia akili ileile na watu walewale waliosababisha matatizo yetu, nilazima tuyatafute majibu hayo nje ya sanduku. Bahati mbaya wazee hawakubali mabadiliko ya haraka na hawana tabia ya kuwaamini vijana hata kidogo kama watawafikisha mbele. Wazee mara zote huwa wana kauli za don't, don't don't nyiiingi kwa vijana kwa kila jambo hadi kufikia kuviua vipaji vya vijana wao.
Kijana kubaki CCM ni sawa na kijana aliyekwenda ng'ambo na kufanya kazi za kutunza wazee kwenye kambi za wezee. Nimewahoji vijana wengi wanaofanyakazi ya kutunza wazee Ulaya na Marekani, wengi wao wanakiri wanalipwa na kupata pesa nyingi lakini hawana raha ya kazi (job satisfaction) kwasababu ya kutumia muda wao mwingi kukaa na vizee.
CCM ni chama cha wazee, huna jipya wewe kijana utakaloweza kuwaambia(status quo), ndio maana vijana wengi wenye akili nyingi kama zako wanatafuta mabadiliko ya nchi nje ya CCM (outside the box) ili kuepuka kukaa karibu na wazee wa enzi za TANU, KANU, UPC, ZANU-PF, Frelimo, nk ambao kumbukumbu yao hadi leo ni harakati za ukombozi tu basi. Nyimbo zao ni zile za akina Salimu Abdalah, Fundi Konde, na Juma Balo.
Watu kama wewe, Angela Kairuki, Bulaya, Nape, Filikunjombe, n.k mtaleta mabadiliko gani mkiwa katikati ya kundi la wazee wa CCM? sio kama mnatafuta kurogwa tu nyinyi?. Najisikia uchungu sana kuona vijana wenzetu kama nyiye wenye maarifa na weledi mkubwa mkijitenga na mkizomewa na vijana wenzenu majukwaani na sehemu mbalimbali za mijumuiko kwa kutetea chama na sera zilizowafikisha vijana hapa walipo. Huhitaji kuwa na fedha nyingi ili kuwa na furaha, ila unaweza kuwa na furaha iliyopitiliza kama ukigundua kuwa mchango wako umesababisha watu wengine kuwa na amani, furaha na nafuu ya maisha. Ninajisikia mwenye furaha tele kumaliza maumivu aliyokujanayo mgonjwa kwangu na kumfanya arudi tena kwenye jamii kuendelea na kazi zake, najisikia furaha ninapokutana naye mitaani mgonjwa wangu akiwa hana matatizo tena. Unajisikiaje wewe kama January Makamba kutetea chama ambacho kina matokeo ambayo yanakufanya kuwaona vijana wenzako wakiiba mifuniko ya chemba ya majitaka, kuitwa vishoka, kukata alama za barabarani wakauze kama chuma chakavu, kufanya kazi ya kuzunguuka na mashati mawili mitaani kuuza, kupanga bidhaa chini barabara za waenda kwa miguu, kukosa ajira, n.k?
January Makamba na vijana wenzako mlioko CCM, mnajisikiaje kuona vijana wenzenu wengi wanashabikia vyama vya upinzani? mnadhani wana shida gani? wamerogwa? hawana akili au kumetokea nini?
Vijana wamekata tamaa, hawaoni kama ndani ya CCM kuna mtu ambaye hatawadanganya tena kuhusu maisha yao. Hamuoni kama mnaweza kutengeneza tanzania mpya yenye matumaini kwa vijana kwa kuungana na vijana wenzenu nje ya CCM?
Sikudhihaki ndugu yangu wa Bumbui, lakini tofautisha kati ya kazi, fedha, madaraka, huduma na personal satisfaction.
Watu wa kizazi kipya kama chako huwa wanaitazama na kuiona Tanzania kwa jicho la kisasa zaidi na lenye matumaini makubwa kuliko wazee. Tuwashukuru wazee wetu kwa kututafutia uhuru, lakini kazi ya kututafutia maendeleo sio ya kwao tena. Vijana tuna matatizo ya maisha, lakini hatuwezi kutegemea kutatua matatizo yetu kwa kutumia akili ileile na watu walewale waliosababisha matatizo yetu, nilazima tuyatafute majibu hayo nje ya sanduku. Bahati mbaya wazee hawakubali mabadiliko ya haraka na hawana tabia ya kuwaamini vijana hata kidogo kama watawafikisha mbele. Wazee mara zote huwa wana kauli za don't, don't don't nyiiingi kwa vijana kwa kila jambo hadi kufikia kuviua vipaji vya vijana wao.
Kijana kubaki CCM ni sawa na kijana aliyekwenda ng'ambo na kufanya kazi za kutunza wazee kwenye kambi za wezee. Nimewahoji vijana wengi wanaofanyakazi ya kutunza wazee Ulaya na Marekani, wengi wao wanakiri wanalipwa na kupata pesa nyingi lakini hawana raha ya kazi (job satisfaction) kwasababu ya kutumia muda wao mwingi kukaa na vizee.
CCM ni chama cha wazee, huna jipya wewe kijana utakaloweza kuwaambia(status quo), ndio maana vijana wengi wenye akili nyingi kama zako wanatafuta mabadiliko ya nchi nje ya CCM (outside the box) ili kuepuka kukaa karibu na wazee wa enzi za TANU, KANU, UPC, ZANU-PF, Frelimo, nk ambao kumbukumbu yao hadi leo ni harakati za ukombozi tu basi. Nyimbo zao ni zile za akina Salimu Abdalah, Fundi Konde, na Juma Balo.
Watu kama wewe, Angela Kairuki, Bulaya, Nape, Filikunjombe, n.k mtaleta mabadiliko gani mkiwa katikati ya kundi la wazee wa CCM? sio kama mnatafuta kurogwa tu nyinyi?. Najisikia uchungu sana kuona vijana wenzetu kama nyiye wenye maarifa na weledi mkubwa mkijitenga na mkizomewa na vijana wenzenu majukwaani na sehemu mbalimbali za mijumuiko kwa kutetea chama na sera zilizowafikisha vijana hapa walipo. Huhitaji kuwa na fedha nyingi ili kuwa na furaha, ila unaweza kuwa na furaha iliyopitiliza kama ukigundua kuwa mchango wako umesababisha watu wengine kuwa na amani, furaha na nafuu ya maisha. Ninajisikia mwenye furaha tele kumaliza maumivu aliyokujanayo mgonjwa kwangu na kumfanya arudi tena kwenye jamii kuendelea na kazi zake, najisikia furaha ninapokutana naye mitaani mgonjwa wangu akiwa hana matatizo tena. Unajisikiaje wewe kama January Makamba kutetea chama ambacho kina matokeo ambayo yanakufanya kuwaona vijana wenzako wakiiba mifuniko ya chemba ya majitaka, kuitwa vishoka, kukata alama za barabarani wakauze kama chuma chakavu, kufanya kazi ya kuzunguuka na mashati mawili mitaani kuuza, kupanga bidhaa chini barabara za waenda kwa miguu, kukosa ajira, n.k?
January Makamba na vijana wenzako mlioko CCM, mnajisikiaje kuona vijana wenzenu wengi wanashabikia vyama vya upinzani? mnadhani wana shida gani? wamerogwa? hawana akili au kumetokea nini?
Vijana wamekata tamaa, hawaoni kama ndani ya CCM kuna mtu ambaye hatawadanganya tena kuhusu maisha yao. Hamuoni kama mnaweza kutengeneza tanzania mpya yenye matumaini kwa vijana kwa kuungana na vijana wenzenu nje ya CCM?