Kwa January Makamba tu

Kwa January Makamba tu

Mimi kwa kweli kwa upande wangu sioni kama ni kijana mbona mnampa sifa ya kijana?? Huyu ni mzee kabisa hata akili zake na mawazo yake ni ya mtoto mwenye umri wa miaka 2 maana mzee akishazeeka akiri zake zinarudi utotoni
 
Huko tuendako kuna vijana watayakana majina ya baba zao na hasa wale ambao bado wako hai. Ninamwona mwenyekiti ajaye kama mtu atakayetamatisha 'Uswahili' ndani ya ccm, na ndipo itakapokuwa kilio na kusaga meno!!
 
Haya yote wanayafahamu ila wanajifanya kufumba macho yao wasione yanayotokea lakini wanayaona,wanajifanya kuziba masikio yao wasisikie vijana wanataka nini lakini wanasikia na wanaelewa

Hukumu yao inakuja
 
Achana nao kenge hao.
Mwak huu ni mabadiriko tu hatutaki kusikia chochote kutoka kwenye vinywa vya mwana ccm yeyote.
 
Anakusma lakini?????????

Ndorobooooooo kweli huujamaa........!

Alinikera sana alichokifanya pale U/Taifa Katika mech Kati ya Stars na Nigeria huyu MwanaBumbuli.
 
na wewe kwanini umeusoma na kumjibu? Kwani wewe ndio Makamba J?
Fasihi inakusumbua na ilikusumbua darasani. Dhima ya andiko hilo ni kwa vijana wote mlio wagumu kubadili mfumo wa siasa na utawala wa nchi kwa maslahi yenu na wanenu. Wazee yao ilikuwa jana na leo na kesho ni ya vijana. Kubalini matokeo japo yana gharama zake zinazorekebishika kuliko mfumo huu kandamizi mnaoutetea. Na kwanini vijana wengi mlioajiriwa mnakuwa rigid and conservative kwa kiasi hiki? Badilikeni bwana msiwe kama kanuni za hisabati.
Mkuu siyo vijana walioajiriwa,sema vijana waliobebwa kupata ajira
 
Sikudhihaki ndugu yangu wa Bumbui, lakini tofautisha kati ya kazi, fedha, madaraka, huduma na personal satisfaction.
Watu wa kizazi kipya kama chako huwa wanaitazama na kuiona Tanzania kwa jicho la kisasa zaidi na lenye matumaini makubwa kuliko wazee. Tuwashukuru wazee wetu kwa kututafutia uhuru, lakini kazi ya kututafutia maendeleo sio ya kwao tena. Vijana tuna matatizo ya maisha, lakini hatuwezi kutegemea kutatua matatizo yetu kwa kutumia akili ileile na watu walewale waliosababisha matatizo yetu, nilazima tuyatafute majibu hayo nje ya sanduku. Bahati mbaya wazee hawakubali mabadiliko ya haraka na hawana tabia ya kuwaamini vijana hata kidogo kama watawafikisha mbele. Wazee mara zote huwa wana kauli za don't, don't don't nyiiingi kwa vijana kwa kila jambo hadi kufikia kuviua vipaji vya vijana wao.

Kijana kubaki CCM ni sawa na kijana aliyekwenda ng'ambo na kufanya kazi za kutunza wazee kwenye kambi za wezee. Nimewahoji vijana wengi wanaofanyakazi ya kutunza wazee Ulaya na Marekani, wengi wao wanakiri wanalipwa na kupata pesa nyingi lakini hawana raha ya kazi (job satisfaction) kwasababu ya kutumia muda wao mwingi kukaa na vizee.

CCM ni chama cha wazee, huna jipya wewe kijana utakaloweza kuwaambia(status quo), ndio maana vijana wengi wenye akili nyingi kama zako wanatafuta mabadiliko ya nchi nje ya CCM (outside the box) ili kuepuka kukaa karibu na wazee wa enzi za TANU, KANU, UPC, ZANU-PF, Frelimo, nk ambao kumbukumbu yao hadi leo ni harakati za ukombozi tu basi. Nyimbo zao ni zile za akina Salimu Abdalah, Fundi Konde, na Juma Balo.

Watu kama wewe, Angela Kairuki, Bulaya, Nape, Filikunjombe, n.k mtaleta mabadiliko gani mkiwa katikati ya kundi la wazee wa CCM? sio kama mnatafuta kurogwa tu nyinyi?. Najisikia uchungu sana kuona vijana wenzetu kama nyiye wenye maarifa na weledi mkubwa mkijitenga na mkizomewa na vijana wenzenu majukwaani na sehemu mbalimbali za mijumuiko kwa kutetea chama na sera zilizowafikisha vijana hapa walipo. Huhitaji kuwa na fedha nyingi ili kuwa na furaha, ila unaweza kuwa na furaha iliyopitiliza kama ukigundua kuwa mchango wako umesababisha watu wengine kuwa na amani, furaha na nafuu ya maisha. Ninajisikia mwenye furaha tele kumaliza maumivu aliyokujanayo mgonjwa kwangu na kumfanya arudi tena kwenye jamii kuendelea na kazi zake, najisikia furaha ninapokutana naye mitaani mgonjwa wangu akiwa hana matatizo tena. Unajisikiaje wewe kama January Makamba kutetea chama ambacho kina matokeo ambayo yanakufanya kuwaona vijana wenzako wakiiba mifuniko ya chemba ya majitaka, kuitwa vishoka, kukata alama za barabarani wakauze kama chuma chakavu, kufanya kazi ya kuzunguuka na mashati mawili mitaani kuuza, kupanga bidhaa chini barabara za waenda kwa miguu, kukosa ajira, n.k?

January Makamba na vijana wenzako mlioko CCM, mnajisikiaje kuona vijana wenzenu wengi wanashabikia vyama vya upinzani? mnadhani wana shida gani? wamerogwa? hawana akili au kumetokea nini?

Vijana wamekata tamaa, hawaoni kama ndani ya CCM kuna mtu ambaye hatawadanganya tena kuhusu maisha yao. Hamuoni kama mnaweza kutengeneza tanzania mpya yenye matumaini kwa vijana kwa kuungana na vijana wenzenu nje ya CCM?

Lowassa ndo kijana wa kuleta mabadiliko !? Ulofa ni shidaa !
 
Umemuona Lowasa tu, halafu utakuta wewe ndio lofa wa mwisho.
 
Sikudhihaki ndugu yangu wa Bumbui, lakini tofautisha kati ya kazi, fedha, madaraka, huduma na personal satisfaction.
Watu wa kizazi kipya kama chako huwa wanaitazama na kuiona Tanzania kwa jicho la kisasa zaidi na lenye matumaini makubwa kuliko wazee. Tuwashukuru wazee wetu kwa kututafutia uhuru, lakini kazi ya kututafutia maendeleo sio ya kwao tena. Vijana tuna matatizo ya maisha, lakini hatuwezi kutegemea kutatua matatizo yetu kwa kutumia akili ileile na watu walewale waliosababisha matatizo yetu, nilazima tuyatafute majibu hayo nje ya sanduku. Bahati mbaya wazee hawakubali mabadiliko ya haraka na hawana tabia ya kuwaamini vijana hata kidogo kama watawafikisha mbele. Wazee mara zote huwa wana kauli za don't, don't don't nyiiingi kwa vijana kwa kila jambo hadi kufikia kuviua vipaji vya vijana wao.

Kijana kubaki CCM ni sawa na kijana aliyekwenda ng'ambo na kufanya kazi za kutunza wazee kwenye kambi za wezee. Nimewahoji vijana wengi wanaofanyakazi ya kutunza wazee Ulaya na Marekani, wengi wao wanakiri wanalipwa na kupata pesa nyingi lakini hawana raha ya kazi (job satisfaction) kwasababu ya kutumia muda wao mwingi kukaa na vizee.

CCM ni chama cha wazee, huna jipya wewe kijana utakaloweza kuwaambia(status quo), ndio maana vijana wengi wenye akili nyingi kama zako wanatafuta mabadiliko ya nchi nje ya CCM (outside the box) ili kuepuka kukaa karibu na wazee wa enzi za TANU, KANU, UPC, ZANU-PF, Frelimo, nk ambao kumbukumbu yao hadi leo ni harakati za ukombozi tu basi. Nyimbo zao ni zile za akina Salimu Abdalah, Fundi Konde, na Juma Balo.

Watu kama wewe, Angela Kairuki, Bulaya, Nape, Filikunjombe, n.k mtaleta mabadiliko gani mkiwa katikati ya kundi la wazee wa CCM? sio kama mnatafuta kurogwa tu nyinyi?. Najisikia uchungu sana kuona vijana wenzetu kama nyiye wenye maarifa na weledi mkubwa mkijitenga na mkizomewa na vijana wenzenu majukwaani na sehemu mbalimbali za mijumuiko kwa kutetea chama na sera zilizowafikisha vijana hapa walipo. Huhitaji kuwa na fedha nyingi ili kuwa na furaha, ila unaweza kuwa na furaha iliyopitiliza kama ukigundua kuwa mchango wako umesababisha watu wengine kuwa na amani, furaha na nafuu ya maisha. Ninajisikia mwenye furaha tele kumaliza maumivu aliyokujanayo mgonjwa kwangu na kumfanya arudi tena kwenye jamii kuendelea na kazi zake, najisikia furaha ninapokutana naye mitaani mgonjwa wangu akiwa hana matatizo tena. Unajisikiaje wewe kama January Makamba kutetea chama ambacho kina matokeo ambayo yanakufanya kuwaona vijana wenzako wakiiba mifuniko ya chemba ya majitaka, kuitwa vishoka, kukata alama za barabarani wakauze kama chuma chakavu, kufanya kazi ya kuzunguuka na mashati mawili mitaani kuuza, kupanga bidhaa chini barabara za waenda kwa miguu, kukosa ajira, n.k?

January Makamba na vijana wenzako mlioko CCM, mnajisikiaje kuona vijana wenzenu wengi wanashabikia vyama vya upinzani? mnadhani wana shida gani? wamerogwa? hawana akili au kumetokea nini?

Vijana wamekata tamaa, hawaoni kama ndani ya CCM kuna mtu ambaye hatawadanganya tena kuhusu maisha yao. Hamuoni kama mnaweza kutengeneza tanzania mpya yenye matumaini kwa vijana kwa kuungana na vijana wenzenu nje ya CCM?

my goodness!! mm ni Mzee lkn nimefarijika kusoma busara hii. je ni kweli madaktari (kina januari) wamepoteza ule moyo wa kufurahi wanapowaona wagonjwa wao wamepona na wako njiani wanafurahia maisha? au ni walewale wanaohamishia madawa ktk maduka yao na kuwaandikia wagonjwa wakanunue huko? wanaopiga dili kupitia magonjwa na shida za masikini na wagonjwa? wanaosema watatatua matatizo yote yanayosababisha umaskini halafu baadae wanasema hawajui kwa nn tz no maskini. naungana nawe kuwa vijana wenye uwezo waachane na hicho chama wakatuletee mabadiliko nje. ccm ikabaki kuwa ile ya waasisi ambao sofa yao kuu no kupigania Uhuru na kudhania kuwa baada ya Uhuru was bendera hakuna zaidi. vijana kushabikia ccm in janga
 
Sikudhihaki ndugu yangu wa Bumbui, lakini tofautisha kati ya kazi, fedha, madaraka, huduma na personal satisfaction.
Watu wa kizazi kipya kama chako huwa wanaitazama na kuiona Tanzania kwa jicho la kisasa zaidi na lenye matumaini makubwa kuliko wazee. Tuwashukuru wazee wetu kwa kututafutia uhuru, lakini kazi ya kututafutia maendeleo sio ya kwao tena. Vijana tuna matatizo ya maisha, lakini hatuwezi kutegemea kutatua matatizo yetu kwa kutumia akili ileile na watu walewale waliosababisha matatizo yetu, nilazima tuyatafute majibu hayo nje ya sanduku. Bahati mbaya wazee hawakubali mabadiliko ya haraka na hawana tabia ya kuwaamini vijana hata kidogo kama watawafikisha mbele. Wazee mara zote huwa wana kauli za don't, don't don't nyiiingi kwa vijana kwa kila jambo hadi kufikia kuviua vipaji vya vijana wao.

Kijana kubaki CCM ni sawa na kijana aliyekwenda ng'ambo na kufanya kazi za kutunza wazee kwenye kambi za wezee. Nimewahoji vijana wengi wanaofanyakazi ya kutunza wazee Ulaya na Marekani, wengi wao wanakiri wanalipwa na kupata pesa nyingi lakini hawana raha ya kazi (job satisfaction) kwasababu ya kutumia muda wao mwingi kukaa na vizee.

CCM ni chama cha wazee, huna jipya wewe kijana utakaloweza kuwaambia(status quo), ndio maana vijana wengi wenye akili nyingi kama zako wanatafuta mabadiliko ya nchi nje ya CCM (outside the box) ili kuepuka kukaa karibu na wazee wa enzi za TANU, KANU, UPC, ZANU-PF, Frelimo, nk ambao kumbukumbu yao hadi leo ni harakati za ukombozi tu basi. Nyimbo zao ni zile za akina Salimu Abdalah, Fundi Konde, na Juma Balo.

Watu kama wewe, Angela Kairuki, Bulaya, Nape, Filikunjombe, n.k mtaleta mabadiliko gani mkiwa katikati ya kundi la wazee wa CCM? sio kama mnatafuta kurogwa tu nyinyi?. Najisikia uchungu sana kuona vijana wenzetu kama nyiye wenye maarifa na weledi mkubwa mkijitenga na mkizomewa na vijana wenzenu majukwaani na sehemu mbalimbali za mijumuiko kwa kutetea chama na sera zilizowafikisha vijana hapa walipo. Huhitaji kuwa na fedha nyingi ili kuwa na furaha, ila unaweza kuwa na furaha iliyopitiliza kama ukigundua kuwa mchango wako umesababisha watu wengine kuwa na amani, furaha na nafuu ya maisha. Ninajisikia mwenye furaha tele kumaliza maumivu aliyokujanayo mgonjwa kwangu na kumfanya arudi tena kwenye jamii kuendelea na kazi zake, najisikia furaha ninapokutana naye mitaani mgonjwa wangu akiwa hana matatizo tena. Unajisikiaje wewe kama January Makamba kutetea chama ambacho kina matokeo ambayo yanakufanya kuwaona vijana wenzako wakiiba mifuniko ya chemba ya majitaka, kuitwa vishoka, kukata alama za barabarani wakauze kama chuma chakavu, kufanya kazi ya kuzunguuka na mashati mawili mitaani kuuza, kupanga bidhaa chini barabara za waenda kwa miguu, kukosa ajira, n.k?

January Makamba na vijana wenzako mlioko CCM, mnajisikiaje kuona vijana wenzenu wengi wanashabikia vyama vya upinzani? mnadhani wana shida gani? wamerogwa? hawana akili au kumetokea nini?

Vijana wamekata tamaa, hawaoni kama ndani ya CCM kuna mtu ambaye hatawadanganya tena kuhusu maisha yao. Hamuoni kama mnaweza kutengeneza tanzania mpya yenye matumaini kwa vijana kwa kuungana na vijana wenzenu nje ya CCM?

Mada tamu na ya kufikirisha.
Kwa nini unaituma kwa January Makamba tu?
 
sina hakika kama hawa vijana wasomi wa ccm niwatanzania! nadhani niukoo wa balali tutajua siku wakifariki.
 
Back
Top Bottom