Hizi kashfa sio mara ya kwanza kuzisikia. Hizi kashfa zilisukwa kwa mara ya kwanza na Assenga aliposhindwa kwenye uchaguzi na huyo Lijualikali na zilifika mpaka kwenye uongozi wa juu wa CCM.
Naamini kabisa hizi kashfa zimetolewa na Assenga bila kuhusishwa Lijualikali au amehusishwa. Hii ni...
Original Apple Earpods
Highlights
Designed by Apple
Compatible with iPhone and Android devices.
Deeper, richer bass
Greater protection from sweat
Control music and video playback
Answer and end calls
Price: 18,000
Phone: 0764453848
Xiaomi Mi Band 4
Specs
Display -------------------0.95" AMOLED Display, 120*240 Pixels
Battery ------- -----------135mAh battery compacity,Up to 20 days (Recharging time ~2 Hours)
Water resistance ------ 5ATM water resistance up to 50m
RAM+ROM --------------512K RAM+16MB ROM
Activity Tracking...
Nani anaikumbuka ladha ya mpenzi wake ambaye walishaachana mwaka mmoja uliopita? Tuache mwaka, ikiwa ulikuwa na mtu kisha ukakutana naye kimapenzi wiki iliyopita na baada ya hapo hamjakutana tena, ni ladha ipi unaikumbuka?
Kuna faida gani ya kusema au kujulikana ulishatoka kimapenzi na wapenzi...
Mkoani Morogoro, kuna mji mdogo unaoitwa Matombo ambao maana yake ni matiti ya mwanamke.
Sababu ya mji huo kuitwa hivyo ni miamba ya mawe iliyopo eneo hilo, ambayo imeshikana kama matiti ya mwanamke.
Kwa Kiluguru matiti ya mwanamke huitwa matombo...na hiyo ndiyo asili ya eneo hilo kuitwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.