Kuna mwalimu kamaliza degree yake hapo akapata nafasi ya kufundisha chuo cha kati cha afya alichokuwa anafanyia hapo kakihamishia huku anapofanyia kazi sasa hivi bila fedha huboi CA lazima ufeli tu....itakuwa aliiga
Habarini familia nina miaka 25, natamani sana kuwa na familia yangu lakini nikizingatia sina fedha yoyote ile nipo natengemea nyumbani kitu kama hicho kinanifanya niwe na hofu hata ya kutafuta mke kwa hofu ya kukosa fedha.
Naombeni kufahamu kama kuna binti yoyote ambaye yupo tayari kuishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.