Hii comment muhimu sana hadi 2030, na watamalizwa wote taratibu kwa mtindo huo huo wa ugonjwa wa moyo, na jinsi wabongo walivyo wataaminishwa tu bila uchunguzi wowote; ili kuwapisha wanamtandao waje washike nchi kiulaini. Ila HP hakua smart, aliamua kabisa kurudi bongo akamatwe hai.Mafia na...
Sawa wanaweza kuclean kwa sasa, lakini wajue tu watu wanapona maumivu ya 29 October, lakini ipo siku moto utawaka na hakuna atakaeweza kuuzima tena. Hawa Gen Z sio sawa na kizazi cha mwaka 47 kilicho madarakani.
Una akili sana wewe, umeconnect dots vizuri, nawaona wale wote waliokua na mawasiliano na HP wanapata kitu na box. Na huko HP alikofichwa anawataja wote. rip
Magonjwa kama huo ugonjwa wa moyo kwa bongo ni sawa na ubwabwa tu. Life style na vyakula vya mafuta mafuta ni shida + pressure ya kazi na misukosuko ya bongo = kifo cha haraka. RIP Lukuvi.
Umeiweka vizuri sana na nimekuelewa ila waislamu wa Buza na Chanika watakupinga na kukuona mwendawazimu hawajui kua Iran inachezea kichapo cha mbwa koko na hizo missiles anarusha ni zile za uoga uoga.
Israel na US/Trump, na media za magharibi ambazo ndizo waturutumbi wanapatia habari zinafanya...
Ni mojawapo ya unafiki au basi ushamba, nimeunga mkono hoja maana niliwahi kuja bongo na kweli watu walikua wanatushangaa sijui kwa nini. Unafiki + ushamba = lack of exposure.
Na sasa hicho kizazi cha Israel hakiwezi kuondoka maana ndicho kinaiweka dunia kua hivi. Wewe hapo buza bila muisrael kugundua computer na mazaga zaga yote ya teknolojia labda saa hizi ungekua huko kijijini kwenu kazuramimba. Waarab na waafrika pamoja na resources nyingi walizonazo lakini...
Nimekubaliana kua sitaweza tena kurudi kuishi bongo, baada ya muda mrefu wa kuishi mamtoni. Nilidhani nchi imepiga hatua kwenye demokrasi kumbe ndio inazidi kurudi nyuma zaidi, ukitoa mawazo yako hata kama ni mazuri ila yapo kinyume na mtazamo wa serikali basi UNATEKWA!!! Sirudi tena minazi...
Ndio maana hutaona hata siku moja Urusi anaingia front kupambana na Israel. Hata kule Ukraine wayahudi ni wengi sana hadi yule Waziri mkuu mwanamke wa kwanza wa Israel Golda Mair, alikua myahudi mzaliwa wa Ukraine. Pale pale Israel wale wayahudi wengi waliochanganya na uzungu wengi wametokea...
Kumnyonya mwanamke ni "weakness" wala sio kumridhisha, kujitafutia fungus mdomoni pasipo sababu yoyote. Wanaume hawatakiwi kuhangaika na hivyo vitu, kunyonya nyonya mbususu, tafuta PESA na umpe MUDA wako pia kuienjoy hio pesa, hivyo tu utamridhisha mwanamke.
Habari za kifo cha Netanyahu ni fix, na waliozianzisha ni hao hao Israel ili kuwapumbaza watu kua mabomu ya Iran yanafikia hadi kuua waziri mkuu wao. Lakini nyuma ya pazia Iran na Hezbollah wanachezea mkong'oto wa hali ya juu. Na huko Lebanon jamaa wameingiza kikosi cha ardhini kufagia kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.