Hivi kuna mtu kabisa anaweza kwenda Geita kununua nyumba milioni 100? Mie hapo Dar tu sijui kinyerezi, vingunguti, temeke, mbagala hadi huko kijichi siwezi weka milioni 100 eti kwa nyumba. Lakini watu tunatofautiana, ngoja waje wanaotaka kuishi Geita.