Recent content by El Mincho

  1. El Mincho

    JamiiForums Tanzania Rais wa Zimbabwe atangaza siku yake ya kuzaliwa kuwa sikukuu ya kitaifa

    Ngozi nyeusi tuna matatizo, acha tu watuite NYANI maana tumefanana nao kiakili. :cool: :cool: :cool:
  2. El Mincho

    JamiiForums Tanzania Nyumba Inauzwa

    Hivi kuna mtu kabisa anaweza kwenda Geita kununua nyumba milioni 100? Mie hapo Dar tu sijui kinyerezi, vingunguti, temeke, mbagala hadi huko kijichi siwezi weka milioni 100 eti kwa nyumba. Lakini watu tunatofautiana, ngoja waje wanaotaka kuishi Geita.
  3. El Mincho

    JamiiForums Tanzania Mbona Nchimbi hauliziwi alipo ? Je watanganyika hawampendi?

    Wangeanza na Pole Pole aliejulikana kachukuliwa na kina Mafwele. Nchimbi haijulikani kachukuliwa au kapumzika na siasa.Kingine, kutetea wadanganyika ni kupoteza muda na resources zako tu, bora kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake na asepe tu, wabongo ni wanafiki sana, hebu check jinsi...
  4. El Mincho

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    Sijui huyu daktari alikua anawaza nini kumkwida vile askari akiwa kazini na mavazi yake ya kazi tena mbele za wananchi, niseme tu alikosea sana, na hakuna polisi popote duniani wangempeleka kwenye mkono wa sheria kwanza bila kumpa kichapo cha haja kumfunza adabu. Unaipiga dola ???pole zake
  5. El Mincho

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    Kwa kweli hata mimi hilo la kumkwida hivyo askari limenishangaza sana. Najiuliza huyo daktari nae alikua under imfluence hadi akafanya hivyo na je alitegemea nini?? Ni sawa polisi wa bongo wana mapungufu yao, lakini kwa kile alichofanyiwa yule askari akiwa na nguo za kazi, kitendo kile sehemu...
  6. El Mincho

    JamiiForums Tanzania Basi la Abood lagongana na IST wakati dereva 'aki-overtake', Watu wanne wafariki Dunia

    Wasababishaji wa ajali inabidi wahukumiwe kifo tu, Madereva wazembe wanaua watu wasio na hatia. Kama hapo inaonekana wote waliofariki ni abiria na dereva wa IST, ambao hawana hatia ni huyo dereva wa basi mwenye kosa la kuovertake pasipo na sababu. Halafu watasema tumuachie mungu ajali ya haina...
  7. El Mincho

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Garage nzuri ya Mercedes

    Ushauri wa kizushi, nawashauri wenye shida zinazoisumbua gari kwanza inatakiwa ugoogle tatizo tu hapo unapata mwanga nini tatizo na linahitaji nini. Kama unajua kizungu google forum za hio gari, then unaingia kwenye forums zao unaweka tatizo la gari yako, hapo unapata ideas za kulitatua kabla...
  8. El Mincho

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Garage nzuri ya Mercedes

    Swali la kizushi, kwani mafundi wa bongo hawana zile tester zinazokupa codes kuonesha tatizo haswa lilipo??
  9. El Mincho

    JamiiForums Tanzania Jirani ananikonyeza na kanga moko: Nifanyeje?

    Bado hujakua , ukikua utaancha kutufungulia uzi kama huu wa kisenge, wakati sisi tuna mjadala mzito wa katiba mpya. Kakojoe ulale.
  10. El Mincho

    JamiiForums Tanzania Kwamba mungu amepiga OFU TAGETI?

    Vipi wewe umebahatika kua na meno yote 32, maana wote wanaotoka South Africa dental formula zimesambaratika wana meno 15 maximum :D :D :D :D :D
  11. El Mincho

    JamiiForums Tanzania Kiongozi yoyote kusoma Hotuba/Taarifa iliyo na makosa kidogo na Kiuandishi na kutojiridhisha nayo ni kutulazimisha tuamini ulivyo Juha (Mpumbavu) sana

    Unataka kusema "First gentleman" sio mtu muhimu kwa nchi yetu wakati yeye ndio mshauri wa ndani wa mama. Vipi angekua ni first lady ingechukuliwa vipi. Apumzike kwa amani ila kwenye nchi yetu huyu ni mtu muhimu sana, maana ndio anaeshare shuka na mama na kumshauri vitu vya "ndani ndani " in Papa...
  12. El Mincho

    JamiiForums Tanzania VP anaanza kazi kwa kutangaza msiba mzito

    Halafu anatangaza bila kusahihisha makosa alioandikiwa ; Kuna hospitali ya Mzena Zanzibar?? Ndio mjue sasa huyo VP ni zero kama ma zero wengine, ameshindwa kazi kabla hata hajaianza kwa kutangaza kitu kama kasuku bila ya kujiongeza kua Hospitali ya Mzena ipo Dar tu.
  13. El Mincho

    JamiiForums Tanzania Kiongozi yoyote kusoma Hotuba/Taarifa iliyo na makosa kidogo na Kiuandishi na kutojiridhisha nayo ni kutulazimisha tuamini ulivyo Juha (Mpumbavu) sana

    Na mie imenishangaza nikajiuliza hio hospital ina maana na huko visiwani ipo pia, ila kama haipo na huyo mkuu kasoma kama ilivyo bila kusahihisha basi kweli JUHA haswaaa.
  14. El Mincho

    JamiiForums Tanzania Leteni ushaidi wenzangu hua mnafanyaje kuwafaidi HAWA VIBONGE WENYE MAKEBO

    Great thinkers, tumefikaje hapa na huu upuuzi kila siku?? ni hawa Gen Z waliozoea kulelewa na mishangazi au kupumuliwa kisogoni au ni nini haswa?? This is too low for JF. Sad.
  15. El Mincho

    JamiiForums Tanzania Dar haiwezi kuwa na bus stand Moja tu, Chalamila amewaza kupata Kodi sio huduma Bora Kwa abiria

    Dar haina ukubwa wowote wa kutisha kivile kufanya isiwe na Central station moja ya mabasi, wengi wanaowaza kua Dar ni kubwa basi ni wale hawajawahi safiri kutoka nje ya Tanzania. Dar ni ndogo sana kulinganisha na miji kama Cairo, Algiers, Johannesburg, Kinshasa n.k sema ujengwaji wa mji ulikua...
Back
Top Bottom