Recent content by El Mincho

  1. El Mincho

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Hii comment muhimu sana hadi 2030, na watamalizwa wote taratibu kwa mtindo huo huo wa ugonjwa wa moyo, na jinsi wabongo walivyo wataaminishwa tu bila uchunguzi wowote; ili kuwapisha wanamtandao waje washike nchi kiulaini. Ila HP hakua smart, aliamua kabisa kurudi bongo akamatwe hai.Mafia na...
  2. El Mincho

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Sawa wanaweza kuclean kwa sasa, lakini wajue tu watu wanapona maumivu ya 29 October, lakini ipo siku moto utawaka na hakuna atakaeweza kuuzima tena. Hawa Gen Z sio sawa na kizazi cha mwaka 47 kilicho madarakani.
  3. El Mincho

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Una akili sana wewe, umeconnect dots vizuri, nawaona wale wote waliokua na mawasiliano na HP wanapata kitu na box. Na huko HP alikofichwa anawataja wote. rip
  4. El Mincho

    Ufanyike uchunguzi wa kina na wa sirisiri kwa viongozi wanaokufa ghafla

    Magonjwa kama huo ugonjwa wa moyo kwa bongo ni sawa na ubwabwa tu. Life style na vyakula vya mafuta mafuta ni shida + pressure ya kazi na misukosuko ya bongo = kifo cha haraka. RIP Lukuvi.
  5. El Mincho

    Iran wanafanya kosa lile lile la kudhani Trump ni muoga baada ya kuongeza siku 5, Ayatollah na Maduro walimpuuza alipoongeza muda, kiko wapi?

    Umeiweka vizuri sana na nimekuelewa ila waislamu wa Buza na Chanika watakupinga na kukuona mwendawazimu hawajui kua Iran inachezea kichapo cha mbwa koko na hizo missiles anarusha ni zile za uoga uoga. Israel na US/Trump, na media za magharibi ambazo ndizo waturutumbi wanapatia habari zinafanya...
  6. El Mincho

    Kwanini wapenzi wakionekana pamoja barabarani watu wengi wanawashangaa ?

    Ni mojawapo ya unafiki au basi ushamba, nimeunga mkono hoja maana niliwahi kuja bongo na kweli watu walikua wanatushangaa sijui kwa nini. Unafiki + ushamba = lack of exposure.
  7. El Mincho

    Kwanini wapenzi wakionekana pamoja barabarani watu wengi wanawashangaa ?

    Unafiki wa wabongo huo, hakuna jamii yenye unafiki mwingi kama Tanzania.
  8. El Mincho

    Dunia Haiwezi kuwa na Amani endapo kizazi cha Israel bado kipo hai

    Na sasa hicho kizazi cha Israel hakiwezi kuondoka maana ndicho kinaiweka dunia kua hivi. Wewe hapo buza bila muisrael kugundua computer na mazaga zaga yote ya teknolojia labda saa hizi ungekua huko kijijini kwenu kazuramimba. Waarab na waafrika pamoja na resources nyingi walizonazo lakini...
  9. El Mincho

    Ukweli gani mgumu umekubaliana nao baada ya kuwa mtu mzima?

    Nimekubaliana kua sitaweza tena kurudi kuishi bongo, baada ya muda mrefu wa kuishi mamtoni. Nilidhani nchi imepiga hatua kwenye demokrasi kumbe ndio inazidi kurudi nyuma zaidi, ukitoa mawazo yako hata kama ni mazuri ila yapo kinyume na mtazamo wa serikali basi UNATEKWA!!! Sirudi tena minazi...
  10. El Mincho

    Je, unajua wayahudi wamechangia pakubwa maendeleo ya technolojia urusi?

    Ndio maana hutaona hata siku moja Urusi anaingia front kupambana na Israel. Hata kule Ukraine wayahudi ni wengi sana hadi yule Waziri mkuu mwanamke wa kwanza wa Israel Golda Mair, alikua myahudi mzaliwa wa Ukraine. Pale pale Israel wale wayahudi wengi waliochanganya na uzungu wengi wametokea...
  11. El Mincho

    Kitu gani kinamsisimua mwanamke

    Kumnyonya mwanamke ni "weakness" wala sio kumridhisha, kujitafutia fungus mdomoni pasipo sababu yoyote. Wanaume hawatakiwi kuhangaika na hivyo vitu, kunyonya nyonya mbususu, tafuta PESA na umpe MUDA wako pia kuienjoy hio pesa, hivyo tu utamridhisha mwanamke.
  12. El Mincho

    Kitu gani kinamsisimua mwanamke

    Pesa ; hivyo vingine ni janja janja tu. Hata umfanyie kila kitu cha kumsisimua kama huna pesa ni kazi bure ataona unampotezea muda :D:D
  13. El Mincho

    Nashindwa kuelewa tukio hili ambalo nimekutana nao

    Chai ya suturungi hii:D:D:D:D
  14. El Mincho

    Waziri wa Ulinzi Israel asema wamemuuwa Mkuu wa Ulinzi wa Iran, Ali Larijani

    Habari za kifo cha Netanyahu ni fix, na waliozianzisha ni hao hao Israel ili kuwapumbaza watu kua mabomu ya Iran yanafikia hadi kuua waziri mkuu wao. Lakini nyuma ya pazia Iran na Hezbollah wanachezea mkong'oto wa hali ya juu. Na huko Lebanon jamaa wameingiza kikosi cha ardhini kufagia kila...
Back
Top Bottom