Mimi naitwa Emmanuel Vicent Natokea Mwanza mimi ni video director natafuta watu ambao wapo vizuri kwenye kuandaa story hasa za kutengenezea filamu.
Kama story kali tunaweza fanya biashara ila kama story itakua ya kawaida tunashoot na kukuweka kwenye credit kama mtunzi na muandishi wa story...
I want to know what are the disadvantage of having enemies in our daily life please help me i need your help to support me in this tpic. thank u
Sent using Jamii Forums mobile app
Okkk...me na mrembo wangu anamatatizo ya kusikia (kiziwi) kiukweli tunapendana sana pamoja na matatizo yake ila moyo wangu wote upo kwake nampenda sana kila kitu kuhusu mapenzi nampatia ili ajione kama watu wengne katika dunia hii ya shida na raha ila ukitoa changa moto mbalimbali ambazo napata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.