el diablo
Member
- Jan 7, 2019
- 40
- 20
jamani wana jf mm sio mwenyeji sana katika mapenzi eti mwanamke kujisikia kukojoa au kubanwa na mkojo mara kwa mara wakati wa tendo la ndoa kunasababishwa na nini. maana imekua too much sasa yaan dk 15 au 20 anaenda chooni. Na anakua mkali sana sasa sahivi imekua kama kelo. Ebu mniambie shida ni nini wenzangu.