el diablo
Member
- Jan 7, 2019
- 40
- 20
Okkk...me na mrembo wangu anamatatizo ya kusikia (kiziwi) kiukweli tunapendana sana pamoja na matatizo yake ila moyo wangu wote upo kwake nampenda sana kila kitu kuhusu mapenzi nampatia ili ajione kama watu wengne katika dunia hii ya shida na raha ila ukitoa changa moto mbalimbali ambazo napata kutoka kwake ila bado i still lov her. Lengo la uzi huu ni kutaka kujua wadau wenzangu wenye madem viziw au wake viziw ili tuwekane sawa kuhusu kuhandle wake zetu jaman au kama kuna wanawake viziwi watuweke wazi kuhusu siri za hisia zao. Ahsanteni
emawambele@gmail.com
emawambele@gmail.com