Recent content by EKijana

  1. E

    Kuna dalili ya utapeli

    Nashukuru Wakuu kwani hata sasa hawajnijulisha chochote na nilipowauliza wanitumie sample ya certificate zao na report ya matokeo jamaa alikuwa akisisitiza pesa zaidi!! Duuu hadi wizi siku hizi kidigatli!!!!
  2. E

    TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

    Maombi haswa yanhitajika kwa kwelii!!! Siamini hata mimi kama kweli amefariki ila kama ni kweli R.I.P Deo Mungu awafriji familia ya marehemu na wote wenye uchungu.
  3. E

    Kuna dalili ya utapeli

    Ngoja nisubiri Ushirombo
  4. E

    Kuna dalili ya utapeli

    Wandugu jamani naombeni msaada nipo njia panda!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:dizzy:
  5. E

    Kuna dalili ya utapeli

    Habari za usiku ndugu zangu. Kuna kazi niliomba majibu yametoka kuwa nime kuwa shortlisted ila nijaze fomu flani wamenituma kisha niambatanishe na General Intelligence aptitude (GIA) test certificate. Wamenitumia website mbili. Pia wamesema naweza fanya kwa accredited invigilator wengine...
  6. E

    TANZIA: Mzee Emanuel Makaidi, Mwenyekiti mwenza wa UKAWA afariki dunia

    amilyroley R.I.P babu. Ndio napata leo wasifu wako kweli ulikuwa msomi...!!
  7. E

    Ufoo Saro na Malumbano ya hoja

    anaingilia sana wachangiaji na kulazimisha mambo
  8. E

    TRA: Kulipa ushuru mara mbili kwa biashara moja ndio utaratibu!

    Wezi wakubwa sana Hawa na wavivu wa kufikiri!!!
  9. E

    Red Worm: Kwa kulishia Kuku, Samaki, na vile vile kutengeneza mbolea ya Maji

    Mr. Ngamba Habari, Upo atwn maeneo gani? nipo atwn pia. Pia naomba nami uniwhatsapp through this no. 0754421400 Ahsante
  10. E

    Vijana wa Kilimanjaro wataka kazi ya kubeba mizigo Mlima Kilimanjaro wapewe wao tu

    Mawazo yao kweli au bhangi na viroba?? au wanataka kusema na ma tour guide Arusha wawe waarusha tuuu!!
  11. E

    Jambazi sugu lenye kuwaibia na kuwaua wanawake Arusha lauawa!

    Leo majira ya asubuhi amewawa n polisi jijini Arusha. akutwa na silaha za kisasa kabisa, risasi za kutosha. pikpiki no. za bandia. Inasemekana amekwishaua zaidi ya wanawake 15. na kujeruhi kadhaa hadi sasa. Mwenye habari zaidi atujuze.
  12. E

    Matokeo Kidato cha sita: Lengo limetimia!

    Mkuu ningependa kujua ulimaliza mwaka gani. form six na pia ulipata division gani ndipo uendelee kukoment ili usiendelee kuwa potosha wengine!!
Back
Top Bottom