Recent content by ejasson

  1. ejasson

    Msaada: Traffic case hukumu yake inakuaje?

    2m ya wap.....fain inategemeana na wewe kukubal kosa au ni vp.......kama umekubal kosa utalipa fain na kuhusu mazish hausikiii ila ukiamua wewe ndio utajitoa tu kw ajil ya msiba tu lakin mahakaman fain ya ajali ya kufariki nahis inaanzia lak na 20 uko na kuendeleaa na kuhus sijuii mazish...
  2. ejasson

    Msaada: Traffic case hukumu yake inakuaje?

    mahakamanii au wapiii...
  3. ejasson

    Msaada: Traffic case hukumu yake inakuaje?

    hqizid 120k kama kwel amemtibia basi haizidi hyo hela
  4. ejasson

    Jifunze kutengeneza mafuta ya kujaza ndevu

    Eeh maan sijuii napata wapi hivyo vtu vilivyotajwa apo juu.
  5. ejasson

    Je, ni kweli kuna dawa ya kuwa mrefu wa mwili? ( Tall )

    Habari wana JamiiForums. Eti ni kwel mtu akiwa mnene sanaa na akaja kupungua uzito kwa haraka kama alikuwa mfupi? Huongezeka urefu je ni kwel au ni uwongo? Kama ni kwel nianzee kula ovyo ninenepeee kisawa sawa....kisha nikonde niwe mrefuu zaidiii😊😊😊
  6. ejasson

    Jifunze kutengeneza mafuta ya kujaza ndevu

    Nikihitajii unifanyie wewe huo mchanganyiko vp unaweza nisaidia.
  7. ejasson

    Leo nimemkumbuka mwenzetu ELNINO" Nimeamua kulima kwa Mara ya pili"

    🤣🤣🤣 kilimo cha maneno kilituponza wengiii 😅😅
  8. ejasson

    Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

    nakusalimu ndugu vp dr slaa alikuw raisi....vp 85m umezipata kwel au ukame ulipita na mazao yako🤣🤣
  9. ejasson

    Mambo ya kujua kabla ya kuingia kwenye kilimo na ufugaji

    Hahhaha umenichekesha eti kapigwa risasi ya kichwa 🤣🤣🤣
  10. ejasson

    Miaka mitatu ya jasho kwenye Forex na ukweli mchungu niliojifunza, still 'GAME ON'!

    400m wapii me simuamini jana katoka kupost twitter uko eti kakopa bank 25m kwa ajili ya katanii.......hv mtu una 400m unaenda vp kukopa bakii 25m serious kabisaa......hapo nikajua jamaa ni anauzushi huyoo🤣🤣🤣🤣
  11. ejasson

    Msaada wa platform ya kuinvest (Investment)

    Hahahahaha nimecheka kwel kwel aiseee kwel wahuni sio watu yaani uko ni kipigooo anarudi na majoz yake🤣🤣🤣
  12. ejasson

    Ni timu gani kati hizi tano nijiunge nayo kwa ajili ya `Signal Subscription’ wakati na mimi najifua mdogo mdogo

    namkubali sana jamaa huyu yupo real hana kuficha hata telegram yuko vzur
  13. ejasson

    Naomba ushauri wenu juu ya mambo haya, maana mwenyewe imefika mahali nimeanza kukata tamaa

    nakubaliana na wew asilimia nyingi wanataka wafanye forex tu wanasahau kama wakipata faida inawabidi wafanye na biashara nyingine wanaishia kueka lot tembo kinachuwakuta ni kuchoma account na kutumia lot sisimizii😀😀😀
  14. ejasson

    Nani anaijua dawa ya usingizi zaidi ya valium?

    aiseeeh me nikikosaga usingizi kabisaa nakunywa chai ya rangi vikombe viwili kinachofatia hapo ni kudozii sometime nakuja kuamka sa 3 na nimechelewa job🤣🤣🤣🤣 uzur nimejiajir sifukuzwi na mtu😂😂😂
Back
Top Bottom